Uyoga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 59 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q83093 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
''<sup>Kwa kundi la muziki nchini Kenya tazama [[Uyoga (bendi)]]</sup>''
[[Image:Mushroom 02.jpg|thumb|right|Uyoga]]
'''Uyoga''' ni sehemu ya [[kuvu]] inayotokea juu ya [[ardhi]] na kukuza [[vibufu]] vinavyofanana na [[mbegu]] ya [[mimea]]. Uyoga mara nyingi huitwa [[mimea]] lakini si mimea, ni sehemu ndogo ya kuvu au fungi.▼
▲'''Uyoga''' ni sehemu ya [[kuvu]] inayotokea juu ya ardhi na kukuza [[vibufu]] vinavyofanana na mbegu ya [[mimea]]. Uyoga mara nyingi huitwa mimea lakini si mimea ni sehemu ndogo ya kuvu au fungi.
Kazi ya uyoga kwa fungi yake ni kama [[matunda]] kwa mmea yaani ni kusaidia kuzaa na kusambaza.
Uyoga ni
Uyoga si fungi mwenyewe bali kitu kama tunda lake. Unajengwa na nyuzi nyingi za kungunyanzi na kuwa mahali pa kukuza vibufu ambavyo ni kama mbegu wa fungi.▼
▲Uyoga si fungi
==Uyoga kama chakula==
Uyoga ni maarufu kama [[chakula]], lakini ni chakula kinachohitaji uangalifu na [[utaalamu]]. Zinapikwa, kukaangwa na aina kadhaa pia huunganishwa bichi katika [[saladi]].
Uyoga huwa na [[protini]] nyingi pamoja na [[madini]] na [[vitamini]] ndani yake. Kwa hiyo ni chakula bora.
Kwa upande mwingine kuna uyoga za [[sumu]] zinazofanana na uyoga za kuliwa,
==Uchumi==
Uyoga huvunwa pale zinapokua. Hizi zinauzwa [[barabara|barabarani]] au [[soko|sokoni]].
Aina kadhaa
{{mbegu-biolojia}}
[[category:
[[Category:Fungi]]
|