Sudan Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 80:
 
[[Uchumi]] unategemea [[kilimo]] vijijini na cha kujikimu, lakini mwanzoni mwa mwaka 2005, uchumi alianza mpito wa kutoka vijijini na mijini katika Sudan Kusini kumeonekana [[maendeleo]] kupindukia.
 
Mnamo Machi [[2016]] nchi imefaulu kujiunga na [[Jumuia ya Afrika Mashariki]] kama mwanachama wa sita.
 
== Historia ==
Line 126 ⟶ 128:
==Jiografia==
[[File:SouthSudanStates.svg|thumb|450px|Majimbo 10 ya Sudan Kusini yalivyotokana na [[wilaya]] 3 za Sudan {{legend|#9BCD9B|[[Bahr el Ghazal]]}} {{legend|#7AC5CD|[[Equatoria]]}} {{legend|#EEE685|[[Greater Upper Nile]]}}.]]
Kiutawala, Sudan Kusini inajumuisha [[majimbo]] kumi ambayo hapo awali yalikuwa kihistoria Mikoa mitatu ya Bahr el Ghazal, Equatoria, na Nile ya juu. Mwaka [[2015]] nchi imegawiwa upya katika majimbo 28 ambayo mipaka yake inafuata ile ya ma[[kabila]] yanayoishi humo.
 
Maeneo matatu ya Milima ya Nuba, Abyei na Nile ya Buluu kiutamaduni na kisiasa ni sehemu za Kusini lakini kwa mujibu wa [[CPA]] yatakuwa na utawala tofauti mpaka kura ya maoni ambayo ifanyike ambapo yatapata fursa ya kujiunga na Sudan Kusini au kubaki chini ya utawala wa Sudan. KaskaziniLakini kuna wasiwasi kama Sudan itaitisha kura za namna hiyo.
 
{{Columns |width=160px
Line 150 ⟶ 152:
 
== Idadi ya Watu ==
Inakubaliwa na wengi kuwa kabila kubwa zaidi Sudan Kusini ni [[Dinka]] (15%), ikifuatiwa na [[Nuer]] (10%) kisha [[Bari]], [[Azande]], [[Shilluk]]. Makabila mengine ya jamii ya Sudan Kusini ni [[Acholi]], [[Murle]], [[Bari]], [[Nubi]], [[Kuku]], [[Funj]], [[Maban]], [[Zandi]], [[Oduk]] na mengineyo.
 
==== Sensa ya Tano ya Watu na Makazi ya Sudan (2008) ====
Line 171 ⟶ 173:
Sudan Kusini inajumuisha zaidi ya makabila 200 yakizungumza [[lugha]] 60 zinazopatikana hasa katika Sudan ya Kusini na lugha nyingine kutoka nchi jirani za Kenya, Ethiopia, Uganda, Kongo, Sudan (Khartoum) na nyingine (angalia [[Orodha ya lugha za Sudan Kusini]]).
 
[[Lugha rasmi]] ni [[Kiingereza]], pamoja na kutambulika kwa lugha mbalimbali za mitaa katika majimbo au miji. [[Kiswahili]] kinapangiwa kuenezwa nchini, hasa baada ya Sudan Kusini kujiunga na Jumuia ya Afrika Mashariki.
 
Lugha tatu kubwa za Kiafrika zinazotumika Sudan Kusini ni [[Thongjieng]] (wazungumzaji 3,000,000 ), [[Thok Naadh]] (wazungumzaji 1,599,000), na [[Shilluk]] (zaidi ya wazungumzaji 1,000,000).
 
[[Nuer]] inazunguzmwa katika Bentiu, Nasir, Akobo, Maywuut nk na Shilluk inazunguzmwa katika [[Upper Nile]] au katika Ufalme wa Shilluk; [[Kiarabu cha Juba]] kinazunguzmwa karibu katika kila sehemu ya Sudan Kusini lakini hasa katika majimbo ya [[Equatora Mashariki]], [[Equatoria Magharibi]] na [[Bahr el Jabel]].
Line 186 ⟶ 188:
Watu wa Sudan kusini hujihusisha zaidi na [[Ukristo]] na [[dini asilia za Kiafrika]] (32.9%).
 
Ukristo una wafuasi takriban asilimia 60.5 za wakazi wa Sudan Kusini, wengi wakiwa wa [[Kanisa Katoliki]] na [[Anglikana]], yakiwemo pia [[Wakalvini]] na [[madhehebu]] mengine mengi madogo zaidi<ref name="hope">{{citeweb|url=http://www.hopeforthefutureinternational.org/about-southern-sudan-christianity.php|title=Christianity in Southern Sudan|work=Hope for the Future International}}</ref>.
 
[[Uislamu]] unafuatwa na 6.2%.
Line 251 ⟶ 253:
[[Jamii:Nchi za Afrika]]
[[Jamii:Umoja wa Afrika]]
[[Jamii:Jumuiya ya Afrika Mashariki]]
[[Jamii:Siasa ya Sudan]]
[[Jamii:Historia ya Sudan Kusini]]