Fizikia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Tengua pitio 969588 lililoandikwa na 169.255.185.118 (Majadiliano) |
||
Mstari 1:
[[Picha:Magnet 4.jpg|thumb|250px|right|[[Sumaku]] ikielea juu ya [[Upitishoumeme kuu|kipitishiumeme kikuu]] kuonyesha [[Ifekti ya Meissner]].]]
'''Fizikia''' (kutoka [[neno]] la [[Kigiriki]] φυσικός, ''physikos'', "ya kimaumbile", ambalo tena linatokana na φύσις, ''physis'', "umbile") ni [[fani]] ya [[sayansi]] inayohusu [[maumbile]] ya [[Dunia]], hususan [[asili]] ya viumbe vya [[ulimwengu]].
Ni [[taaluma]] yenye kushughulika na [[maada]] na uhusiano wake na [[nishati]].
Fizikia imetoa mchango mkubwa katika sayansi, [[teknolojia]] na [[falsafa]].
== Utangulizi ==
|