Emilia wa Vialar : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:EmiliVialar.jpg|thumb|right|Mt. Emilia wa Vialar.]]
'''Emilia wa Vialar''' (kwa [[Kifaransa]] '''Émilie de Vialar''', [[12 Septemba]] [[1797]] – [[24 Agosti]] [[1856]]) alikuwa [[mtawa]] [[Mfaransa]] aliyeanzisha shirika la ki[[misionari]] la [[Masista wa Mt. Yosefu wa Njozi]].
Anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]]. Alitangazwa [[mwenye heri]] na [[Papa Pius XI]]
|