Meksiko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 53:
}}
'''Meksiko''' ni nchi kubwa ([[
Imepakana na [[Marekani]] upande wa [[kaskazini]]. Upande wa [[kusini]] majirani ni [[Guatemala]] na [[Belize]].
Ina [[pwani]] ndefu na [[bahari]] za [[Pasifiki]] na [[Ghuba ya Meksiko]].
Ina [[muundo]] wa [[shirikisho]] ya majimbo 32 yanayojitawala.
Mexiko ilikuwa nchi ya [[staarabu]] za juu ya [[Waazteki]] na [[Wamaya]] hadi kuvamiwa na [[Hispania]] mnamo mwaka [[1521]], halafu [[koloni]] lya Hispania hadi [[uhuru]] wa mwaka 1821.
Mji mkuu ni [[Mexico City]], ambao katika eneo lake lote una watu zaidi ya milioni 20. ▼
▲[[Mji mkuu]] ni [[Mexico City]], ambao katika eneo lake lote una watu zaidi ya [[milioni]] 20.
== Historia ==
Nchi jinsi ilivyo leo imeundwa na wakoloni Wa[[hispania]] walioivamia kuanzia mwaka [[1519]] na kuvunja [[utawala]] wa milki za wenyeji kama [[Azteki]] na [[Maya]].
===Kabla ya uvamizi wa Hispania===
Watu wa kwanza
Hao Waindio walikuwa [[wakulima]] hodari sana na [[mazao]] mbalimbali ambayo leo ni msingi wa [[chakula]] kote [[duniani]] yalianzishwa na kupandishwa nao, yakiwa pamoja na [[mahindi]], [[mboga]] na [[nyanya]]. [[Picha:20041229-Olmec Head (Museo Nacional de Antropología).jpg|250px|thumbnail|left|Sanamu ya kichwa ya Kiolmeki]]
Kilimo kiliweka msingi kwa [[Kijiji|vijiji]] na [[jamii]]
Staarabu mbalimbali zilistawi na kukua katika maeneo ya pwani ([[Waolmeki]], Wamaya) na katika [[nyanda za juu]]
====Waolmeki====
Ustaarabu wa kwanza unaojulikana ulikuwa wa [[Waolmeki]] baina
Waliishi katika kanda la pwani la Mexiko katika majimbo ya leo ya [[Veracruz (jimbo)|Veracruz]] na [[Tabasco (jimbo)|Tabasco]]. Ni watu wa kwanza katika Mexiko wanaojulikana kubuni [[mwandiko]] na [[kalenda]], [[mchezo]] wa [[mpira]] na [[ujenzi]] wa [[piramidi]] za [[hekalu]]. Walikuwa hodari sana kuchonga [[sanamu]] ya [[Jiwe|mawe]], hasa [[Kichwa|vichwa]] vikubwa vyenye [[urefu]] WA zaidi ya [[mita [[Picha:Madrid Codex 9.jpg|thumbnail|150px|Ukurasa kutoka kitabu cha Kimaya - maandishi ya hiroglifi]]
Sanamu nyingine inayorudirudi ni mtu-jagwaa
====Wamaya====
Upande wa [[mashariki]] wa Waolmeki ustaarabu wa [[Wamaya]] ulianza tangu takriban mwaka
Wamaya walibuni mwandiko wa [[hiroglifi]] Walikuwa hodari sana katika [[astronomia]] yaani [[elimu]] ya [[nyota]]. Walipamba miji yao kwa [[Jengo|majengo]] makubwa na mazuri na kuwa [[wafanyabiashara]] hodari. Sanaa yao ilijua [[uchongaji]] wa mawe na pia [[uchoraji]]. Jamii ya Wamaya ilifikia kiwango cha juu kuanzia mwaka [[500 KK]] wakati miji mikubwa ya kwanza ilipotokea. Mnamo mwaka [[800]] [[BK]] jamii za Wamaya katika Yucatan ziliporomoka; [[wataalamu]] wengi huamini ya kwamba mabadiliko ya [[ekolojia]] na [[halihewa]] pamoja na kuchoka kwa [[rutuba]] ya [[ardhi]] yalisababisha kutoka kwa watu katika makazi ya awali.
==== Teotihuacan ====
[[Picha:View from Pyramide de la luna.jpg|thumbnail|[[Barabara]] ya mahekalu na piramidi ya jua mjini Teotihuacan]]
[[Teotihuacan]] ilikuwa mji mkubwa katika nyanda za juu, karibu na Mexico City ya leo. Kuanzia mwaka [[100 KK]] hadi takriban [[550]] BK ilikuwa mji mkubwa wa Amerika, pia moja kati ya miji mikubwa duniani na [[kitovu]] cha [[utamaduni]] kilichoathiri staarabu zote za Mexiko.
Hakuna uhakika ni akina nani waliojenga Teotohuacan. Mji wote ulipangwa kwa kufuata [[barabara]] mbili zilizoelekea kaskazini-kusini na mashariki-magharibi. Hekalu kubwa na piramidi zinaonyesha umuhimu wa [[dini]], na mabaki ya [[nyumba]] za wakubwa na watu wa kawaida
Teotohuacan ilikuwa kitovu cha [[biashara]] ya misafara ya mbali na pia ya elimu. Ukubwa wa mji unaonyesha kiwango cha juu cha [[utawala]] na [[ushirikiano]] kati ya watu wake.
Katika karne ya 6 BK sehemu kubwa ya majengo iliharibika na kuchomwa. Hakuna uhakika kama hii ilikuwa tokeo la uvamizi kutoka nje au mvurugo au mapinduzi ndani ya mji. Baada ya maharibio yale mji ulianza kurudi nyuma na idadi ya watu kupungua. Mnamo mwaka 750 BK watu wote waliondoka ni maghofu ya majengo makubwa tu yaliyobaki<ref>[http://www.metmuseum.org/toah/hd/teot/hd_teot.htm Teotihuacan, Department of Arts of Africa, Oceania, and the Americas, The Metropolitan Museum of Art October 2001]</ref>.▼
▲Katika [[karne ya 6]] BK sehemu kubwa ya majengo iliharibika na kuchomwa. Hakuna uhakika kama hii ilikuwa tokeo la uvamizi kutoka nje au
== Watu ==
Line 100 ⟶ 115:
== Majimbo ya Mexiko ==
# [[Aguascalientes (jimbo)|Aguascalientes]]
# [[Baja California (jimbo)|Baja California]]
Line 176 ⟶ 190:
* [http://www.ifs.du.edu/ifs/frm_CountryProfile.aspx?Country=MX Key Development Forecasts for Mexico] from [[International Futures]]
*[http://www.conservapedia.com/Mexico_by_World_Painters Mexico by World Painters.]
{{Amerika Kaskazini}}
{{mbegu-jio-Mexiko}}
|