26 Juni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
{{Juni}}
== Matukio ==
* [[1945]] - [[Umoja wa Mataifa]] unaanzishwa [[Mji|mjini]] [[San Francisco]] na kuchukua nafasi ya [[Shirikisho la Mataifa]]
* [[1960]] - [[Kisiwa]] cha [[Madagaska]] kinapata [[uhuru]] kutoka [[Ufaransa]]
* [[1960]] - [[Somalia ya Kiingereza]] inapata uhuru kutoka [[Uingereza]]
== Waliozaliwa ==
* [[1581]] - [[Mtakatifu]] [[Petro Claver]], [[padri]] [[mmisionari]] wa [[Shirika la Yesu]] kutoka [[Hispania]]
* [[1892]] - [[Pearl S. Buck]],
* [[1937]] - [[Robert Richardson]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] mwaka wa [[1996]]
* [[1941]] - [[Omar Ali Juma]], [[mwanasiasa]] kutoka [[Zanzibar]]
* [[1942]] - [[Gilberto Gil]], [[mwanamuziki]] na [[Waziri]] wa [[Utamaduni]]
* [[1966]] - [[Adam Kighoma Malima]], [[mbunge]] wa [[Tanzania]]
* [[1970]] - [[Sean Hayes]], [[mwigizaji]] wa [[filamu]] kutoka [[Marekani]]
* [[1987]] - [[Samir Nasri]], [[mchezaji mpira]] kutoka [[Ufaransa]]
== Waliofariki ==
* [[1541]] - [[Francisco Pizarro]], aliyevamia [[Peru]] na kuharibu [[Dola]] la [[Inka]], anauawa mjini [[Lima]]
* [[1943]] - [[Karl Landsteiner]],
* [[1975]] - Mtakatifu [[Josemaría Escrivá]], [[mwanzilishi]] wa [[Opus Dei]] kutoka [[Hispania]]
* [[2007]] - [[Amina Chifupa]],
[[Jamii:Juni]]
|