Fasihi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Fasihi''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni [[utanzu]] ([[tawi]]) wa [[sanaa]] ambao hutumia [[lugha]] ya mazungumzo au maandishi ili kufikisha (kuwasilisha) ujumbe kwa hadhira husika.katika

Katika kazi yoyote ya fasihi ni lazima pawepo na ustadi wenye kuleta mvuto fulani kwa hadhira (wasikilizaji au wasomaji) husika. Ustadi (ufundi) huo unaovutia hadhira huitwa FANI, ambayo hujumuisha mambo kama vile:
*Muundo
*Mtindo
Line 13 ⟶ 15:
 
Vilevile kazi yoyote ya fasihi huwa na ujumbe na malengo mbalimbali ambayo hukusudiwa yaifikie jamii husika. Yale yote ambayo msanii wa kazi ya fasihi anakusudia yaifikie jamii husika huitwa MAUDHUI. Maudhui ya kazi ya fasihi hujumuisha:
 
*Dhamira
*Ujumbe
Line 19 ⟶ 20:
*Falsafa/misimamo na
*Mtazamo
 
==Sifa za fasihi==
*Fasihi ni utanzu wa sanaa
Line 24 ⟶ 26:
*Fasihi ni maelezo ya FANI na MAUDHUI.
*Fasihi ni ufundi unaotumia lugha ili kulete mguso au hisia fulani za watu katika muktadha fulani.
 
==Aina za fasihi==
Kuna aina kuu mbili za fasihi nazo ni:
 
*[[Fasihi simulizi]] - huwasilishwa kwa lugha ya mazungumzo/masumilizi
*[[Fasihi andishi]] - huwasilishwa kwa lugha ya maandishi
Line 33 ⟶ 35:
**Fasihi simulizi huwasilishwa kwa njia ya lugha ya mazungumzo au masimulizi ya mdomo
**Fasihi andishi huwasilishwa kwa njia ya lugha ya maandishi
 
==Kufanana kwa fasihi simulizi na fasihi andishi==
Kimsingi fasihi ni moja ingawa imegawanyika katika sehemu kuu mbili, yaani, fasihi simulizi na fasihi andishi. Mbali na mgawanyiko huo kuna mambo ambayo yanafanana katika fasihi zote mbili. Mambo hayo ni pamoja na:
Line 40 ⟶ 43:
*Zote zina wahusika ambao ni Fanani na Hadhira
*Zote zina vipengele vya Fani na Maudhui
 
==Tofauti kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi==
{| class="wikitable"
Line 72 ⟶ 76:
|}
==Viungo vya Njenje==
*[http://chomboz.blogspot.co.uk/p/fasihi_4.html blogu ya Eric Ndumbaro kuhusu Fasiki simulizi ya Kiafrika]
 
{{mbegu-lugha}}
 
[[Category:Fasihi]]
[[Jamii:Sanaa]]