Mexiko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 137:
====Karne ya 19====
[[Picha:Mexico's Territorial Evolution.png|300px|thumbnail|Maeneo yaliyoongezwa, yaliyotengwa au kujitenga na Mexiko tangu uhuru wa mwaka 1821: A) Maeneo yaliyotwaliwa na Marekani (nyekundu, kichungwa, nyeupe),
Katika miaka iliyofuata nchi haikupata msimamo imara kisiasa wala kiuchumi. Serikali mara nyingi zilikuwa hafifu na kubadilishana.
Vikundi vya [[ushikiiaji ukale]] na [[uliberali]] vilipigana hadi kuingia katika [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]].
Mwaka wa uhuru maeneo ya kusini yalijitenga na kuwa [[Shirikisho la Amerika ya Kati]] lililofarakana baadaye kuwa nchi za [[Guatemala]], [[Honduras]], [[El Salvador]], [[Nikaragua]] na [[Costa Rica]].
Mwaka [[1835]] Marekani
Hatua hii ilisababisha [[Vita ya Marekani na Mexiko]] ya miaka [[1846]] - [[1848]]. Mexiko ikashindwa na
Mexiko ilishambuliwa mara mbili na [[Ufaransa]] kutokana na madai juu ya [[madeni]] ya taifa kwa [[raia]] au [[benki]] za nje. Kwenye [[vita ya keki]] ([[1838]]-
Mashambulio makubwa zaidi yalifuata mwaka [[1861]]. Mexiko ilishindwa kulipa madeni kwa mataifa ya nje. Ufaransa chini ya [[Napoleon III]] iliamua kufanya Mexiko nusu-koloni yake; jeshi la Ufaransa ilivamia nchi, kufukuza serikali na kumweka [[Mwaustria]] [[]][[Maximilian I wa Mexiko|Maximilian I]] kama "Kaisari wa Mexiko". ====Karne ya 20====
|