Meksiko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 157:
Miaka hadi 1921 [[vita ya wenyewe kwa wenyewe]] iliharibu sehemu kubwa za nchi. Kuna makadirio ya kwamba wananchi milioni 1,5 (kati ya milioni 15) waliuawa na zaidi ya 200,000 walikuwa [[wakimbizi]], hasa kwenda Marekani<ref>[http://www.hist.umn.edu/~rmccaa/missmill/mxrev.htm Robert McCaa, "Missing millions: the human cost of the Mexican Revolution." Mexican Studies 19#2 (2001)]</ref>.
Mwaka [[1917]] katiba mpya ya nchi ilitolewa na mkutano wa bunge maalumu. Katiba hii ilikuwa katiba ya kwanza duniani kutangaza [[haki za kijamii]]. Hizo haki zililenga kutunza na kuboresha hali ya wananchi wenye maisha magumu kama wafanyakazi na wakulima dhidi ya [[ubepari|mabepari]] na wenye mashamba makubwa<ref>[https://books.google.com.mx/books?id=rwaNmEXho5QC&q=%22out+social+rights%22&hl=es-419#v=snippet&q=%22out%20social%20rights%22&f=false Akhtar Majeed, Ronald Lampman Watts, and Douglas Mitchell Brown (2006). Distribution of powers and responsibilities in federal countries. McGill-Queen's Press. p. 188. ISBN 0-7735-3004-5.]</ref>. Katiba hii iliweka mamlaka nyingi mikononi mwa rais wa taifa anayechaguliwa na wananchi wote kwa kipindi kimoja cha miaka 6, halafu hawezi kuchaguliwa tena. Shabaha nyingine ya vifungu katika katiba ilikuwa kupunguza uwezo wa Kanisa Katoliki kuathiri siasa na jamii na hatimaye kukomesha [[imani]] hiyo.
Siasa hii dhidi ya [[
Baada ya mapinduzi mamlaka ilichukuliwa na Chama cha kitaifa cha mapinduzi (Partido Nacional Revolucionario PNR) kilichoendelea kutawala kwa miaka 71 kuanzia 1929 hadi [[2000]].
|