Taiga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|250px|Uenezaji wa taiga duniani, inapatikana katika kaskazini kama kanda pana kati ya [[taiga na mbuga baridi.]] Image:Picea mar...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 19:11, 16 Aprili 2016
Taiga (ing.[1] pia boreal forest [2] au snow forest [3] ni jina kwa maeneo makubwa ya misitu kwenye kaskazini ya dunia inayofanywa na aina mbalimbali ya miti ya misonobari, katika Eurasia pia pamoja na mibetula.
Taiga inafunika sehemu kubwa za Alaska, Kanada, Uswidi, Ufini, Norwei, Kazakhstan ya kaskazini and Urusi, hasa Siberia) pamoja sehemu za kaskazini za Marekani.
Maeneo ya taiga yako upande wa kusini wa kanda la tundra. Katika Urusi taiga inafuatwa na kanda la mbuga baridi kwenye kusini yake.
Viungo vya Nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Boreal Forests/Taiga (WWF)
- Terraformers Canadian Taiga Conservation Foundation
- Arctic and Taiga (Canadian Geographic)
- Coniferous Forest. Earth Observatory. NASA. [1].
- Taiga Rescue Network (TRN) A network of NGOs, indigenous peoples or individuals that works to protect the boreal forests.
- Index of Boreal Forests/Taiga ecoregions at bioimages.vanderbilt.edu
- The Nature Conservancy and its partners work to protect the Canadian Boreal Forest
- Slater museum of natural history: Taiga
- ↑ Asili ya jina iko katika lugha za Kituruki
- ↑ msitu wa kaskazini
- ↑ msitu wa theluji