Siberia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Wakazi: taipo |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Siberia Federal Subjects.png|thumb|right|250px|Eneo la Siberia: nyekundu yote; Jimbo la Siberia ndani ya shirikisho la Urusi: nyekundu
'''Siberia''' (kwa [[Kirusi]]: Сиби́рь, ''Sibir''; kwa [[Kitartari]]: Seber) ni eneo kubwa [[mashariki]] mwa [[Urusi]]. Ni zaidi ya [[nusu]] ya eneo la Urusi wote. Eneo lake lote ni [[kilomita za mraba]] [[milioni]] 9.6 ambayo ni karibu sawa na [[Ulaya]] yote (km² milioni 10.6).
== Maana ya Siberia ==
Kuna namna mbalimbali ya kutaja mipaka ya "Siberia".
* [[Jiografia|Kijiografia]] mara nyingi "Siberia"
* [[Siasa|Kisiasa]] ni sehemu tu ya eneo hili (tazama ramani). Kwa maana hii Siberia ni [[jimbo]] la [[shirikisho la Urusi]]. Kisiasa [[Ural (jimbo)|Ural]] na [[Mashariki ya Mbali (jimbo)|Mashariki ya Mbali]] ni majimbo ya pekee.
Mipaka ya Siberia ya kijiografia ni safu ya [[milima ya Ural]] upande wa [[magharibi]], [[bahari ya Aktika]] kwa [[kaskazini]], [[Pasifiki]] katika Mashariki na nchi za [[Kazakhstan]], [[Mongolia]] na [[Uchina]] upande wa
== Wakazi ==
Idadi ya wakazi ni ndogo: kuna milioni 23 pekee. Walio wengi ni [[Warusi]] (79%) wanaoishi mjini. Wakazi asilia (21%) ni vikundi vingi vidogo; walio wengi ni wasemaji wa [[lugha za Kiturki]]. [[Utamaduni]] wao ulikuwa
== Hali ya hewa ==
[[Hali ya hewa]] ya Siberia ni kali sana. [[Kipindi cha joto]]
Kipindi cha baridi ni kirefu, kipindi cha joto ni kifupi. Sehemu kubwa ya Siberia inafunikwa na theluji kwa muda wa miezi tisa kila mwaka. Hivyo kilimo kinawezekana katika kanda nyembamba la kusini. Sehemu kubwa nchi imefunikwa na misitu. Lakini maeneo baridi sana ya kaskazini hapana miti tena ni manyasi na majani tu.▼
▲Kipindi cha baridi ni kirefu, kipindi cha joto ni kifupi. Sehemu kubwa ya Siberia inafunikwa na [[theluji]] kwa muda wa miezi tisa kila [[mwaka]]. Hivyo [[kilimo]] kinawezekana katika kanda nyembamba la kusini. Sehemu kubwa nchi imefunikwa na [[misitu]]. Lakini maeneo baridi sana ya kaskazini hapana [[miti]] tena, ni [[manyasi]] na [[Jani|majani]] tu.
=== Mito na maziwa ===
Siberia ina [[mito]] mingi mikubwa. Lakini huganda kabisa wakati wa baridi, yaani kwa sehemu kubwa wa mwaka isipokuwa ile katika kusini.
* [[Mto Anabar]]
Line 52 ⟶ 50:
{{Mbegu-jio-Urusi}}
{{urusi}}
[[Jamii:Urusi]]
[[Jamii:Siberia| ]]
[[Jamii:Asia]]
|