Nairobi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 52:
== Mazingira yake, hali ya hewa ==
Nairobi iko kilomita 150 upande wa kusini ya [[ikweta]] kwenye nyanda za juu za Kenya kando la mto Nairobi. Nairobi imeanzishwa mahali ambako nchi [[tambarare]] ya [[mto Athi]] inaanza kupanda juu hadi [[milima ya Ngong]] na vilima vingina vinyvyofanya ukuta wa mashariki wa [[Bonde la Ufa]].
[[Kitovu]] cha Nairobi kiko zipatao [[m]] 1624 juu ya [[UB]]. Sehemu za mashariki za jiji ziko bado kwenye tambarare, na sehemu za magharibi ziko kwenye mtelemko unaopanda hadi mita 1800 kwenye mpaka wa jiji na mita 2000 juu ya UB kwenye nje ya jiji huko [[Limuru]].<ref>
[[Hali ya hewa]] haina [[joto]] kali. [[Halijoto]] ya wastani ni 20,5[[°C]] mwezi Machi, na 16,8°C mwezi Julai. [[Mvua]] nyingi hunyesha mwezi Machi ([[mm]] 199), [[kiangazi]] kina mm 14 tu wakati wa Julai.▼
[http://mobile.nation.co.ke/news/How-Nairobi-geography-shapes-pleasure-and-pain/-/1950946/2028756/-/format/xhtml/-/noukqiz/-/index.html How Nairobi’s geography shapes pleasure and pain of its residents, Daily Nation blog 10-11-2013]</ref>
▲[[Hali ya hewa]] haina [[joto]] kali. [[Halijoto]] ya wastani ni 20,5[[°C]] mwezi wa [[Machi]], na 16,8°C mwezi
[[Mvua]] nyingi hunyesha mwezi Machi ([[mm]] 199), [[kiangazi]] kina mm 14 tu wakati wa Julai.
== Mitaa ya Nairobi ==
|