Michoro ya Kondoa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d typo
No edit summary
Mstari 2:
[[Picha:Kondoa.jpg|thumb|Mchoro mwambani.]]
 
'''Michoro ya Kondoa''' ni kundi la [[michoro kwenyeya kuta za mapangomiambani]] katika [[wilaya]] ya [[Kondoa]], [[mkoa]] wa [[Dodoma]] nchini [[Tanzania]].
 
Mapango au nusumapango haya zaidi ya 150 yanapatikana mfululizo kwenye vilima vinavyotazama mtelemko wa [[Bonde la Ufa la Afrika ya Mashariki]]. Mfululizo huo una urefu wa kilometa 9 na uko kama kilometa 20 kaskazini kwa Kondoa.