Vwawa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d Masahihisho aliyefanya 41.222.179.144 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Mstari 1:
{{Infobox Settlement
Mnamo mwaka 2015 jina la vwawa liliingia katika vichwa vikuu vya habari nchini tanzania baada ya kuhusishwa na harakati za kuufanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa songwe kabla ya kupitishwa kwake rasmi mnamo mwaka 2016.
|jina_rasmi = Kata ya Vwawa
Vwawa ni mji ambao ni makao makuu ya wilaya ya mbozi lakini pia makao makuu ya mkoa mpya wa songwe. Mji huu upo nyanda za juu kusini ukiwa umepitiwa na barabara kuu iendayo zambia kupitia mikoa ya mbeya,njombe,iringa,morogorogo,pwani kutokea jijini dar es salaam. vwawa pia imepitiwa na reli ya tazara kutokea jijini dar es salaam hadi kapiri mposhi nchini zambia. Wenyeji wa mwanzo wa mji huu ni makabila ya wanyiha,wandali,wanyamwanga na baadhi ya wanyakyusa wapatikanao katika maeneo ya masoko na ndolezi wilayani mbozi.Vwawa ni mji wenye mitaa yake ambayo ni old vwawa,ilolo,isangu,vwawa day,ichenjezya,ilembo,frolida,mbimba itemba, na mtambwe. Mji huu umezungukwa na huduma mbalimbali za kijamii ikiwemo za kiserikali na watu binafsi kama vile shule,hospitali,nyumba za serikali,benki na huduma nyingine kama vile vituo vya mafuta,masoko,maji ya kutosha na umeme.Mji huu ni mji wenye ardhi nzuri ambayo si ya hali ya ukame ambayo inaruhusu uwepo wa vyakula vya aina nyingi kwa vipindi vyote yaani kiangazi na masika. Mlima ng'amba na milima mingine ionekanayo kwa umbali ni moja ya vitu vioneshayo vwawa kwa uzuri wa kipekee. Kazi nzuri ifanywayo na jeshi la polisi pamoja na ukarimu pia ushirikiano wa watu wa vwawa ni moja ya vitu viifanyayo vwawa kuwa mji wenye utulivu muda wote. kwa miaka mingi vwawa imeonekana kutoa wasomi wengi sana ambao wamekua chachu ya maendeleo ya taifa hili katika nyanja mbalimbali. Uwepo wa makampuni binafsi kama vile Ilasi,unyiha,ADP na mengine mengi ambayo hayajatajwa yamesaidia sana sekta za elimu,uchumi,habari na masuala ya kilimo. Pia vwawa inatoa fursa ya uwekezaji kwa wageni na wenyeji katika masuala mbalimbali.Wenyeji wa mji huu wa vwawa wanawakaribisha sana wageni wa mikoa na wilaya nyingine ili kuwezesha mzunguko wa kibiashara na kijamii.
|picha_ya_satelite =
|maelezo_ya_picha =
|pushpin_map =
|pushpin_map_caption = Mahali pa Vwawa katika Tanzania
|settlement_type = Kata
|subdivision_type = [[Madola|Nchi]]
|subdivision_name = [[Tanzania]]
|subdivision_type1 = [[Mikoa ya Tanzania|Mkoa]]
|subdivision_name1 = [[Mkoa wa Mbeya|Mbeya]]
|subdivision_type2 = [[Wilaya za Tanzania|Wilaya]]
|subdivision_name2 = [[Wilaya ya Mbozi|Mbozi]]
|wakazi_kwa_ujumla = 37844
|latd= |latm= |lats= |latNS=S
|longd= |longm= |longs= |longEW=E
|website =
 
}}
 
'''Vwawa''' ni [[jina]] la [[kata]] ya [[Wilaya ya Mbozi]] katika [[Mkoa wa Songwe]], [[Tanzania]].
KWA SAUTI KUU WANA VWAWA TUNASEMA KARIBUNI VWAWA KWA FURSA ZA KISIASA,BIASHARA,MAKAZI NA MENGINE MENGI.........
VWAWA NI SAFI TUNZA MAZINGIRA YAKUTUNZE....
 
Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2002]], kata ina wakazi wapatao 37,844 waishio humo. <ref>{{cite web|url=http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/mbozi.htm|title=Repoti Kuu ya Hesabu ya Sensa ya Watu na Makazi kwa Mwaka wa 2002|publisher=Serikali ya [[Tanzania]]|language=en|accessdate=|archiveurl=http://web.archive.org/web/20040320093915/http://www.tanzania.go.tz/census/census/districts/mbozi.htm|archivedate=2004-03-20}}</ref>
 
Asili ya jina la Vwawa ni mtemi au mlima.
imeandikwa na Baraka white (obama).. na sekela mbughi..
 
Vwawa ni [[makao makuu]] ya [[wilaya]] ya Mbozi. [[Mji]] huo unapatikana [[nyanda za juu kusini]] [[mkoa]] mpya wa Songwe, zamani Mbeya.
unakaribishwa kwa uhariri zaidi
 
Mji huu uko kando ya [[barabara]] kuu iendayo [[Zambia]], [[Malawi]] kupitia [[wilaya ya Ileje]] na [[mkoa wa Rukwa]].
 
Mji huu una wenyeji ambao ni [[Wanyiha]], [[Wandali]] na [[Wanyamwanga]], lakini pia ma[[kabila]] mengine ambayo si asili katika wilaya ya Mbozi.
 
Mji huu una mitaa yake ambayo ni Ilolo, Mwenge, Ilembo, Mtambwe, Jim road, Isangu, Ichenjezya, Mbugani na Vwawa day.
 
Mji huu umetoa wasomi wengi sana ambao ni [[chachu]] ya [[maendeleo]] kwa nchi ya Tanzania.
 
==Marejeo==
{{marejeo}}
 
{{Kata za Wilaya ya Mbozi}}
{{mbegu-jio-songwe}}
 
[[Jamii:Mkoa wa Songwe]]
[[Jamii:Wilaya ya Mbozi]]