Robert Huth : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '==Robert== Alizaliwa agosti 18 1984 Biesdorf mashariki mwa berlini Ujerimani utotoni alichezea soka katika timu ya mtaani Vfb forfuna biesdorf kisha feunion be...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Robert Huth''' (alizaliwa [[Biesdorf]], [[mashariki]] mwa [[Berlin]], [[Ujerumani]], tarehe [[18 Agosti]] [[1984]]) ni [[mchezaji wa mpira]].
==Maisha==
[[Utoto|Utotoni]] alichezea [[soka]] katika [[timu]] ya mtaani Vfb Forfuna Biesdorf, kisha Feunion Berlin.
Alichezea timu za [[Chelsea]], pia [[Bayern Munich]] walimtaka lakini hawakufanikiwa, akaenda [[Middlesbrough]].
Baada ya miaka miwili akaenda [[Stoke City]] aliichezea [[mechi]] ya 100 katika [[ligi kuu]] ya [[Uingereza]] dhidi ya [[Evarton]] mnamo [[4 Oktoba]] [[2009]].
[[Msimu]] wa [[2010]]/[[2011]] aliisaidia Stoke City kucheza [[fainali]] za FA na kufungwa na [[Manchester City]] [[goli]] 1-0 na Huth alitangazwa kuwa [[mchezaji]] bora wa Stoke City.
Mwaka [[2013]] aliumia na kufanyiwa [[operesheni]] ambazo zilimweka nje msimu mzima na mwanzoni mwa [[2014]]/[[2015]] akaumia tena na kukaa nje kwa miezi miwili ambapo alirudi [[9 Desemba]] 2014 akacheza dhidi ya [[Arsenal]].
Kwa misimu 6 alikuwa amechezea mechi 188.
Tarehe [[2 Februari]] 2015 hult alitua [[Leicester City]] kwa [[mkopo]] mpaka mwishoni mwa msimu: kuwasili kwa Huth kulisababisha washinde mechi 9 za mwisho na kubaki ligi kuu.
Baada ya kusajiliwa na Leicester tarehe [[24 Juni]] 2015, Huth amekuwa tegemeo kubwa kwenye kikosi hadi kukiwezesha kuchukua [[ubingwa]] wa ligi kuu ya Uingereza mwaka [[2016]].
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1984]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Wachezaji wa Ujerumani]]
|