Afrika ya Mashariki ya Kijerumani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 24:
|}
[[Picha:Meyers b14 s0300a.jpg|thumb|300px|Ramani ya Kijerumani ionyeshayo Zanzibar na pwani (mnamo 1888)]]
'''Afrika ya Mashariki ya Kijerumani''' (au: ya [[Kidachi]]; kwa [[
Eneo lake lilijumlisha nchi za kisasa za [[Tanzania]] bara (bila [[Zanzibar]]), [[Burundi]] na [[Rwanda]]. Ilikuwa koloni kubwa kabisa
== Chanzo cha koloni ==
=== Utangulizi ===
Hadi mnamo mwaka [[1880]] [[serikali]] ya [[Ujerumani]] chini ya [[chansella]] [[Otto von Bismarck]] ilikataa
Bismarck hakuamini ya kwamba koloni
Mwenyewe aliamini mwanzoni ya kwamba itatosha kuwapa wafanyabiashara [[ulinzi]] kwa shughuli zao kwa kuwaruhusu matumizi ya [[bendera]] ya Ujerumani na kuwa na [[askari]] wao wa ulinzi kama wamepatana na viongozi wazalendo katika eneo fulani kuanzisha shughuli huko. Kwa njia hii alifungua [[mlango]] kwa [[harakati]] iliyoendelea kuwa mchango wa Ujerumani katika [[mbio]] wa kugawa [[dunia]], hasa [[Afrika]]. == Juhudi za Karl Peters ==
[[Picha:Petersland east africa 1885.png|thumb|250px|Maeneo ya kwanza yaliyotwaliwa na Karl Peters]]
Koloni
Peters, aliyewahi kusoma [[chuo]] Uingereza, aliona [[wivu]] juu ya ukoloni wa Uingereza, akiamini ya kwamba Ujerumani ungestahili nafasi hiyo pia. Hivyo alianza kudai koloni katika
Shirika hii ilimtuma pamoja na wenzake wawili kwenda Afrika na kutafuta nafasi ya kuanzisha koloni. Peters alifika [[Zanzibar]] alipoambiwa na [[konsuli]] ya Ujerumani ya kwamba hawezi: serikali ya nyumbani haikubali mipango yake. Hivyo alivuka [[Bara|barani]] akapita kanda la eneo la Kizanzibari kwenye [[pwani]] na kutembelea [[chifu|machifu]] na [[Sultani|masultani]] barani.
Hapa alifaulu kushawishi watawala wa Usagara, Nguru, Useguha und Ukami kumpa sahihi kwenye mikataba ya Kijerumani ambayo hawakuelewa. Mikataba hii ilisema ya kwamba mtawala alikabidhi nchi yake pamoja na haki juu ya ardhi na mali yote kwa kampuni. ▼
▲Hapa alifaulu kushawishi watawala wa [[Usagara]], [[Nguru]], [[Useguha]]
1885 Peters alirudi Berlin na kuonyesha mikataba yake kwa magazeti na serikali. [[Chansela Bismarck]] alikataa akacheka mikataba kama karatasi bila maana. Peters alitumia mbinu akatisha kupeleka mikataba yake kwa mfalme [[Leopold II wa Ubelgiji]] aliyekuwa kununua haki zake. Hapa Bismarck aliogopa kilio cha wapenda koloni akakubali kumpa Peters barua ya ulinzi kwa maeneo yalikuwa ya kampuni kufuatana na mikataba.▼
Mwaka 1885 Peters alirudi [[Berlin]] na kuonyesha mikataba yake kwa [[Gazeti|magazeti]] na serikali. [[Chansela Bismarck]] alikataa, akacheka mikataba kama [[karatasi]] bila maana.
▲
== Upanuzi wa eneo la kampuni ==
===Upanuzi na ugomvi na Zanzibar===
Peters na wawakilishi wake walirudi wakaendelea kutafuta machifu waliokuwa tayari kutia [[saini]] mikataba yake. [[Sultani
Zanzibar ilidai pia utawala ya bara hadi [[Ziwa Tanganyika]] na [[Kongo]], ingawa hali halisi [[athira]] yake haikwenda mbali na [[njia]] za misafara ambako [[ndovu]] na [[watumwa]] walipelekwa pwani.
Mwezi wa Agosti manowari za Kijerumani chini ya amri ya [[admirali]] [[Eduard von Knorr]] zilifika mbele ya Unguja zikalenga mizinga yao kwa ikulu ya sultani. Akishauriwa na balozi wa Uingereza Sultan Bargadh alipaswa kutoa tamko kuwa "Kutokana na madai tunayopelekewa kwa matishio na Kaisari wa Ujerumani tunatambua ulinzi wa Ujerumani juu ya nchi za Usagara, Ngurow, Useguha, Ukami na juu ya wilaya ya Witu. Mipaka yake itaelezwa baadaye na sisi tunatambua ulinzi wa Kaisari juu ya mahali palipotajwa." <ref> nukuu ya Kiingereza katika [http://othes.univie.ac.at/1397/1/2008-09-19_5900039.pdf Franz Kotrba: William Astor Chanler (1867-1934) und Ludwig von Höhnel (1857-1942) und Afrika, Vienna 2008]</ref>. Sultani alipaswa pia kutia sahihi mkataba wa biashara na Ujerumani alipokubali haki nyingi kwa Wajerumani katika milki yake. <ref>Mkataba inapatikana kwa Kiingereza na Kijerumani kwa [http://de.wikisource.org/wiki/Freundschafts-,_Handels-und_Schiffahrtsvertrag_zwischen_dem_Deutschen_Reich_und_dem_Sultan_von_Zanzibar wikisource]</ref>.▼
Tarehe [[27 Aprili]] 1885 serikali ya Zanzibar ilituma barua [[Berlin]] kupinga [[kazi]] na madai ya kampuni na kutangaza maeneo ya Tanzania ya leo kama [[milki]] yake. Iliongeza pia wanajeshi wake barani zilizokuwa chini ya [[amri]] ya [[mwanajeshi]] mstaafu Mwingereza [[Matthews]]. Hapo serikali ya Berlin ilituma kikosi cha [[manowari]] kwenda [[Bahari Hindi]].
Mwaka 1886 Uingereza na Ujerumani walipatana juu ya ugawaji wa Afrika ya Mashariki na tena Sultani alipaswa kukubali. Katika mapatano haya Sultani alibaki na visiwa vya [[Unguja]], [[Pemba]], [[Mafia]] na [[funguvisiwa ya Lamu]] pamoja na kanda la pwani barani lenye upana wa maili 10 kati ya mito Rovuma upande wa Kusini na mto Tana upande wa Kaskazini,halafumiji ya [[Kismayu]], [[Barawa]], [[Merka]] na [[Mogadishu]] upande wa kaskazini zaidi. <ref>Februari 1887 Sultani aliendelea kupungukiwa maeneo alipopatana na Mwingereza [[William Mackinnon]] kumkodisha pwani la Kenya pamoja na haki za utawala kwa malipo ya kila mwaka. Kisheria kanda hili lilibaki mali ya Zanzibar hadi uhuru wa Kenya 1964 </ref>. ▼
▲Mwezi
Sultani alipaswa pia kutia sahihi [[mkataba]] wa [[biashara]] na Ujerumani alipokubali haki nyingi kwa Wajerumani katika milki yake.<ref>Mkataba inapatikana kwa Kiingereza na Kijerumani kwa [http://de.wikisource.org/wiki/Freundschafts-,_Handels-und_Schiffahrtsvertrag_zwischen_dem_Deutschen_Reich_und_dem_Sultan_von_Zanzibar wikisource]</ref>.
▲Mwaka [[1886]] Uingereza na Ujerumani walipatana juu ya ugawaji wa Afrika ya Mashariki na
==Mkataba kati ya Zanzibar na Kampuni juu ya kofo na pwani==
Mapatano ya 1886 yaliwapa Wajerumani nafasi ya kuendeleza upanuzi barani nyuma ya kanda la pwani la Kizanzibari na [[mstari]] wa [[mpaka]] ulichorwa kuanzia [[mdomo]] wa [[mto Umba]] kupitia [[mlima Kilimanjaro]] hadi [[Ziwa Viktoria]]. Lakini kwa ajili ya matumizi ya kibiashara
Mnamo mwaka [[1887]] Bargash alikuwa amechoka: alitafuta [[pesa]] tu kwa ajili yake binafsi; alikuwa tayari kukodisha utawala wa kanda la pwani
Lakini == Vita ya Abushiri na mwisho wa utawala wa Kampuni ==
<sup>tazama [[Vita ya Abushiri]]</sup>
Badiliko hili lilisababisha [[upinzani]] na hatimaye [[ghasia]] ya wenyeji. Vipengele
Mara baada ya kufika kwa Wajerumani kwenye miji ya pwani ghasia ilianza mjini [[Pangani]] na kuenea haraka kote pwani kati ya [[Tanga (mji)|Tanga]] na [[Lindi (mji)|Lindi]].
Kampuni ilikuwa na Wajerumani wachache tu walioshindwa kujitetea. Walipaswa kukimbia au wakauawa. [[Bagamoyo (mji)|Bagamoyo]] pekee palikuwa na kikosi cha askari
Serikali ya Ujerumani iliona lazima kuingia kati
Baada ya upinzani wa wenyeji wa pwani mwaka [[1889]]/[[1890]] wakiongozwa na [[Abushiri]] na [[Bwana Heri]] serikali ya Ujerumani iliamua kutwaa [[mamlaka]] kutoka kwa kampuni na kufanya eneo lote kuwa koloni
Utawala wa Kijerumani ulikwisha katika [[Vita Kuu ya Dunia ya Kwanza]] ([[1914]] - 1918) kutokana na uvamizi wa [[Uingereza]] na [[Ubelgiji]].▼
Katika [[Mkataba wa Versailles]] mwaka 1919 eneo la koloni
▲== Koloni ya Dola la Ujerumani ==
▲Utawala wa Kijerumani ulikwisha katika [[Vita Kuu ya Dunia ya Kwanza]] (1914 - 1918) kutokana na uvamizi wa [[Uingereza]] na Ubelgiji.
▲Katika [[Mkataba wa Versailles]] mwaka 1919 eneo la koloni ya Kijerumani iligawiwa. Sehemu ya [[Tanganyika]] ilikabidhiwa kwa Uingereza na maeneo ya Rwanda na Burundi yaliwekwa chini ya [[Ubelgiji]].
==Tanbihi==
<references/>
==Marejeo==
* Pugu Hadi Peramiho - kimehaririwa na P. Gerold Rupper, OSB, BPNP, Peramiho 1988, ISBN 9967 67 031 1
|