Dodoma (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 43:
Dodoma imeendelea kuwa mji mdogo mpaka kutangazwa kuwa mji mkuu. Azimio hili lilileta ujenzi na maofisi kadhaa ya serikali. Kwa ujumla uhamisho unaendelea kuchelewa kwa sababu mbalimbali; sababu muhimu ni ya kwamba watumishi wa serikali na wanasiasa walio wengi hawapendi kuondoka katika jiji halisi na kuhamia mji mdogo ambao ni mbali sana na mazingira waliyoyazoea. Menginevyo kuna matatizo ya kifedha ambayo yamesaidia haidi sasa kutangaza nia ya kuhami lakini kubaki palepale.
 
<gallery class="float-right" perrow=23 widths=200px heights=170px250px>
File:Klb_dodoma.jpg|Kanisa la Biblia
File:000 1333 Dodoma Cathedral.JPG|Kanisa Kuu la Anglikana, Dodoma Mjini