Dinosauri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 14:
* Saurischia
}}
'''Dinosauri''' (kutoka [[Kigiriki]] δεινός, ''
[[Picha:Trex1.png|thumb|left|Kulinganisha ukubwa wa [[tiranosauri]] na [[binadamu]].]]
[[Wataalamu]] huamini ya kwamba dinosauri walitokea miaka milioni 230 iliyopita wakatoweka ghafla miaka 65 iliyopita. [[Ndege]]
Ujuzi kuhusu [[wanyama]] hao unatokana na [[visukuku]] vyao (mabaki ambayo yamekuwa [[mawe]]) kama vile [[mfupa|mifupa]], [[wayo|nyayo]], ma[[yai]] au [[samadi]]. Visukuku vya dinosau vimepatikana kwenye ma[[
==Spishi zao==
Hadi sasa [[spishi]] 500 zimegundulika na idadi ya spishi zilizotambuliwa inazidi kuongezeka.
Line 33 ⟶ 34:
Wengine wakubwa waliishi [[bahari]]ni kama [[ikhtiosauri]] na [[plesiosauri]]; hata hao walikuwa kundi lingine.
Picha zifuatazo zinaonyesha kwanza visukuku vya kweli vya dinosau halafu [[uchoraji]] au [[sanamu]] zinazoonyesha jinsi gani wataalamu wanadhani mnyama alionekana.
<gallery>
image:Triceratops Struct.jpg|Kiunzi cha triseratopsi
Line 45 ⟶ 46:
image:SeismosaurusDB.jpg|Uchoraji wa diplodoko
</gallery>
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Dinosauria}}▼
{{mbegu-mnyama}}
{{mbegu-biolojia}}
▲{{commonscat|Dinosauria}}
[[Jamii:Reptilia| ]]
|