Kilema Kusini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
mchango wa mwandishi asiyejiandikisha |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kilema Kusini''' ni kata ya [[Wilaya ya Moshi Vijijini]] katika [[Mkoa wa Kilimanjaro]], [[Tanzania]]. Wakati wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 22,711 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Kilimanjaro - Moshi DC]</ref> walioishi humo. [[Msimbo wa posta]] ni 25226.
Askofu Mkuu wa Mwanza (tangu mwaka 2011) [[Juda Thadaeus Ruwa'ichi]] alizaliwa hapa mwaka 1954 katika kijiji cha Mulo.▼
Kilema pia ni sehemu inayotukuzika kihistoria kwani mche wa kwanza wa [[kahawa]] Tanzania ulioteshwa Kilema.
▲Askofu Mkuu wa Mwanza (tangu mwaka 2011) [[Juda Thadaeus Ruwa'ichi]] alizaliwa hapa mwaka 1954 katika kijiji cha Mulo.
▲Kilema pia ni sehemu inayotukuzika kihistoria kwani mche wa kwanza wa kahawa Tanzania ulioteshwa Kilema. Chimbuko la jina la mlima Kilimanjaro pia lilianzia Kilema.Tulikuwa tukiuita mlima huo Kilema Kyaryo "yaani kilima cha kupanda" lakini wageni wakashindwa kutamka na kusema Kilimanjaro.
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-kilimanjaro}} ▼
▲{{Kata za Wilaya ya Moshi vijijini}}
[[Jamii:Wilaya ya Moshi Vijijini]] ▼
[[Jamii:Kata za Mkoa wa Kilimanjaro]]▼
▲{{mbegu-jio-kilimanjaro}}
▲[[Jamii:Mkoa wa Kilimanjaro]]
▲[[Jamii:Wilaya ya Moshi Vijijini]]
|