Tegu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa mpya |
dNo edit summary |
||
Mstari 36:
** [[Trypanorhyncha]]
}}
'''Mategu''' ni aina za [[mnyoo|minyoo]] yaliyo bapa ([[
[[Kichwa]] cha tegu huitwa [[skoleksi]] ([[w:scolex|scolex]]) na kina kulabu na/au [[ogani]] za mfyonzo ili kujishikiza kwa ukuta wa utumbo. [[Mwili]] una [[pingili]] nyingi zinazozaliwa mfululizo mwishoni kwa skoleksi. Kila pingili ina ogani za jinsi na zile za mwisho ambazo zina [[yai|mayai]] yaliyoiva, zinaachwa na kutolewa kwa mwili pamoja na mavi. Kama mayai yakiliwa na mwenyeji wa kati lava zinatoa mayai na kukua. Baada ya muda fulani wanaingia kwa [[musuli|misuli]] na kuunda uvimbe ([[w:cyst|cyst]]). Mwenyeji wa kati akiliwa na [[mbuai]] lava wanakomaa katika utumbo.
|