Mein Kampf : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 15:
Kitabu kilitangazwa kama "biblia" ya harakati ya Manazi. Baada ya Hitler kuwa kiongozi wa serikali na dikteta kilichapichwa na kugawiwa na vyombo vya serikali; bwana na bibi arusi wote walipewa nakala. Kwa jumla kilitolewa zaidi ya mara milioni kumi.
Baada ya mwisho wa utawala wake 1945 kitabu kilipigwa marufuku katika Ujerumani hadi leo.
[[Category:Historia ya Ujerumani]]
|