Jina : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
HISTORIA FUPI YA MJI WA IFAKARA
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Jina''' ni [[neno]] au maneno ambayo wanapewa [[watu]], [[wanyama]], [[nchi]], [[kitu|vitu]] n.k. kwa ajili ya utambulisho.
IFAKARA, ni moja kati ya mji mkubwa uliokwemo ndan ya wilaya ya KILOMBERO lenye makabila makuu maarufu kama Wapogoro na Wandamba, Wenye mfanano wa kuelewana katika baazi ya matamshi ya lugha zao. Maana ya neno Ifakara lilitokana na neno ufwakara lenye maana amekwishakufa.
 
Neno hio lilitokana na nyoka mkubwa ambae alikua ni tishio kubwa kwa wakazi wa mji huo, watu mbalimbali waliuawa na mifyugo pia kuawa.
==Majina ya watu==
Jitihada nyingi zilifanyika kumuangamiza nyoka huyo na mwishowe walifanikiwa kumuua ndipo neno ufwakara lilipovuma kwamba amekwishakufa, wageni wengi kutoka sehemu tofautitofauti walishindwa kutamka vizuri jina hilo na kutamka Ifakara, mbaka leo ifakara ndio jina kuu la mji huo ndani ya wilaya ya Kilombero.
[[Utamaduni]], kwa njia ya [[sheria]] au [[desturi]], ndio unaoratibu namna ya kupanga na kutumia majina ya watu, kwa kawaida tangu kuzaliwa.
 
Mara nyingi, pamoja na jina binafsi, mtu anatumia pia majina mengine kama vile la [[ukoo]] mzima, au la [[baba]] na la [[babu]].
 
Katika nchi na [[Kabila|makabila]] mbalimbali jina linaweza kubadilishwa, kwa mfano wakati wa [[ibada]] wa kuingizwa katika [[dini]] fulani, au kuongezewa, kwa mfano kutokana na [[ndoa]].
 
Mara nyingine jina linafupishwa, hasa kama ni refu mno, au linapambwa kama kwa kumbembeleza mwenye nalo.
 
{{mbegu}}
 
[[Category:Isimu]]
[[Category:Utamaduni]]