#redirect [[Image:Kilindi.GIF|thumb|right|250px|Wilaya ya Kilindi katika Mkoa wa Tanga]]
'''Kilindi''' ni kati ya [[wilaya]] 10 za [[Mkoa wa Tanga]] katika [[Tanzania]]. Imepakana na wilaya ya [[Handeni]] upande wa mashariki, [[Mkoa wa Kilimanjaro]] upande wa magharibi-kaskazini na [[Mkoa wa Morogoro]] upande wa kusini.
Mwaka 2012 ilikuwa na wakazi 236,833 <ref>[http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Tanga - Kilindi DC]</ref> walioishi katika kata 20 za wilaya hiyo.
Makao makuu ya wilaya apo [[Songe]].
==Tazama pia==
*[[Kilindi (kata)|Kilindi]]
==Marejeo==
{{marejeo}}
* [http://www.tanga.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=30&Itemid=193 Taarifa (profile) ya Wilaya ya Kilindi (pdf)]