Afyuni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 64 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q46452 (translate me) |
Replacing Slaapbol_R0017601.JPG with File:Opium_pod_cut_to_demonstrate_fluid_extraction1.jpg (by CommonsDelinker because: File renamed: File renaming criterion #2: To cha |
||
Mstari 11:
== Mavuno ya afyuni ==
[[Picha:
Utomvi wa mpopi ni majimaji meupe yanayoganda haraka hewani kuwa dutu yenye rangi kahawia-nyeusi inayofanana na [[mpira]]. Katika hali hii huitwa afyuni bichi ilitumiwa tangu kale kama dawa la kutuliza maumivu likawezesha waganga wa wa Wahindi, Wachina na Waroma wa Kale kutekeleza upasuaji kwa watu. Pamoja na matumizi haya ilijulikana pia kama dawa la kulevya lakini hii ilikuwa matumizi ya pembeni tu hadi karne ya 15 BK.
|