Egidi mkaapweke : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|246px|Sehemu ya [[mchoro wa mwaka 1500 hivi.]] '''Egidi mkaapweke''' (kwa Kifaransa Gilles; 650 hivi...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 05:30, 7 Agosti 2016

Egidi mkaapweke (kwa Kifaransa Gilles; 650 hivi – 710 hivi) alikuwa mmonaki Mgiriki[1] kutoka Athens, ingawa habari za maisha yake kiini chake ni mikoa ya Provence na Septimania (leo Ufaransa Kusini).

Sehemu ya mchoro wa mwaka 1500 hivi.

Kaburi lake huko Saint-Gilles-du-Gard limekuwa kituo muhimu cha hija kutoka Arles kwenda Santiago de Compostela kumhesimu mtume Yakobo Mkubwa.

Tanbihi

  1. Wyschogrod (1990), p. 27; Chaucer and Schmidt (1976), p. 161, Note #632.

Vyanzo

  • Vita sancti Aegidii (Acta sanctorum, 9 September, 299-304)
  • Legenda Aurea, 130: Sanctus Egidius (On-line text, in Caxton's translation)
  • Chaucer, Geoffrey; Schmidt, Aubrey Vincent Carlyle (1976). The General Prologue to the Canterbury Tales and the Canon's Yeoman's Prologue and Tale. Holmes & Meier. ISBN 0-8419-0219-4. 
  • Wyschogrod, Edith (1990). Saints and Postmodernism: Revisioning Moral Philosophy. University of Chicago Press. ISBN 0-226-92043-7. 

Viungo vya nje