Manispaa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
manisipaa kua manispaa |
||
Mstari 1:
'''
Madaraka haya ni pamoja na haki ya kutawaliwa na serikali ya kimahali iliyochaguliwa na watu wa manisipaa (badala ya kusimamiwa na mwakilishi wa serikali kuu), kuamulia na kukusanya kodi fulani katika eneo la manisipaa na kupanga makisio yake yenyewe.
==
Nchini [[Tanzania]]
Katika muundo wa utawala
Manisipaa za Tanzania ni [[Bukoba (mji)|Bukoba ]], [[Dodoma (mji)|Dodoma ]], [[Iringa (mji)|Iringa ]], [[Kigoma (mji)|Kigoma ]], [[Lindi (mji)|Lindi ]], [[Morogoro (mji)|Morogoro ]], [[Moshi (mji)|Moshi ]], [[Mtwara (mji)|Mtwara ]], [[Musoma (mji)|Musoma ]], [[Shinyanga (mji)|Shinyanga ]], [[Singida (mji)|Singida ]], [[Songea (mji)|Songea ]], [[Sumbawanga (mji)|Sumbawanga ]], [[Tabora (mji)|Tabora ]].
Halafu kuna masisipaa tano ambazo ni sehemu ya majiji mawili.
*[[Jiji la Dar es Salaam]] limegawiwa kwa
*[[Jiji la Mwanza]] limegawiwa kwa
|