Kiarabu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+viungo vya nje |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Arabic_Text.png|thumbnail|200px|"al-`arabiyya" - "Kiarabu"]]
'''Lugha ya Kiarabu''' ni mojawapo ya [[lugha]] muhimu sana [[duniani]], kwa sababu ya kutumika kwake kama lugha ya [[dini|kidini]] kwa mamilioni ya [[uislamu|
▲'''Lugha ya Kiarabu''' ni mojawapo ya [[lugha]] muhimu sana duniani, kwa sababu ya kutumika kwake kama lugha ya [[dini|kidini]] kwa mamilioni ya [[uislamu|Waslamu]] duniani, na kwa kutumika kwake na zaidi ya nchi ishirini na mbili zilizokuwemo ndani ya [[Jumuiya ya Nchi za Kiarabu]], mbali na kuwa ni lugha kale iliyokuwa na athari na taathira kubwa juu ya lugha nyingi ulimwenguni na juu ya ustaarabu na utamaduni wa watu na makabila tofauti tofauti duniani.
Kiarabu kwa kawaida huandikwa kwa [[herufi za Kiarabu]].
Lugha hii, ambayo leo imekubaliwa kama
Ni lugha iliyokusanya aina nyingi za [[mithali]] na ma[[fumbo]], na ina utamaduni mkubwa wa [[wimbo|nyimbo]], ma[[shairi]] na misemo, nayo inakubaliwa na watu wengi duniani kuwa lugha yenye [[utamu]] wa [[matamshi]] na [[uzuri]] wa [[lafudhi]].
Kwa kuwa [[Qurani Tukufu]] na [[Hadithi za Mtume Muhammad]] na Mashairi ya zama za Ujahili ndio yenye kudhibiti lugha hii isiteteleke na kubadilika na kupotea kama nyingi katika lugha za ulimwengu, leo baada ya miaka zaidi ya elfu imebakia thabiti kama ilivyokuwa wakati ilipoteremshwa Qurani, na mabadiliko yoyote yaliyotokea hayana uhusiano na lugha yenyewe ya Kiarabu, bali yana uhusiano na lahaja na vilugha mbali mbali zinazotumika na Waarabu fulani katika sehemu fulani ya nchi au mji. Ama lugha rasmi ya Kiarabu basi imedhibitika kulingana na Qurani na Sunnah, ili maandishi haya yaendelee kufahamika milele na milele.▼
▲Kwa kuwa [[Qurani Tukufu]] na [[Hadithi za Mtume Muhammad]] na Mashairi ya zama za [[Ujahili]] ndio yenye kudhibiti lugha hii isiteteleke na kubadilika na kupotea kama nyingi katika lugha za ulimwengu, leo baada ya miaka zaidi ya [[elfu]] imebakia thabiti kama ilivyokuwa wakati
Leo, Kiarabu kinazungumzwa na watu ya zaidi ya milioni 200 kama lugha yao ya kwanza, na ni lugha ya sita ulimwenguni kwa wingi wa idadi ya wanayoitumia kila siku katika maisha yao, baada ya [[Kichina]] na [[Kihindi]] na [[Kihispania]] na [[Kiingereza]] na [[Kibengali]]. Umuhimu wa lugha hii unazidi kukuwa kila siku kwa sababu ya kutumika kwenye maeneo ya katikati ya ulimwengu baina ya mabara ya kale ([[Ulaya]] na [[Asia]]) na mabara mapya ya ulimwengu ([[Amerika ya Kaskazini]] na Kusini).▼
[[Picha:Arabic_speaking_world.png|thumbnail|500px|Ramani inaonyesha nchi ambako ni lugha rasmi ya pekee (kijani) au lugha rasmi pamoja na lugha nyingine (buluu)]]▼
▲Leo, Kiarabu kinazungumzwa na watu
Umuhimu wa lugha hii unazidi kukua kila siku kwa sababu ya kutumika kwenye maeneo ya katikati ya ulimwengu baina ya [[Bara|mabara]] ya kale ([[Afrika]], [[Asia]] na [[Ulaya]]) na mabara mapya ya ulimwengu ([[Amerika ya Kaskazini]] na [[Amerika ya Kusini|Kusini]]).
▲[[Picha:Arabic_speaking_world.png|thumbnail|500px|[[Ramani]] inaonyesha nchi ambako Kiarabu ni lugha rasmi
== Asili ya lugha ya Kiarabu ==
Kiarabu, pamoja na lugha ya [[Kiebrania]] (ya [[
== Aina za Kiarabu ==
Kuna aina [[tatu]] kubwa za lugha hii ya Kiarabu:
Kuna aina tatu kubwa za lugha hii ya Kiarabu: '''Kiarabu Fasihi''' ambacho kilikuwa kikitumika zama za Ujahili kabla ya kuja Uislamu, na kuendelea kutumika baada ya kuja Uislamu katika Qurani na Sunnah za Mtume Muhammad, '''Kiarabu Mamboleo''' ambacho kinatumika katika maandishi na mazungumzo rasmi baina ya Waarabu wote kwa jumla, na '''Kiarabu Lahaja''' ambacho kinatumika na watu maalumu katika sehemu fulani za nchi au vijiji, na ni lugha ya mahali tu kama vile Kiyemeni au Kimasri au Kishami au Kimaghribi, na lugha hizi au lahaja hizi zinakuwa zinatafautiana sana baina yao katika misamiati na matumizi.▼
*'''Kiarabu Fasihi''' ambacho kilikuwa kikitumika zama za Ujahili kabla ya kuja Uislamu, na kuendelea kutumika baada ya kuja Uislamu katika Qurani na Sunnah za Mtume [[Muhammad]],
*'''Kiarabu Mamboleo''' ambacho kinatumika katika maandishi na mazungumzo rasmi baina ya Waarabu wote kwa jumla, na
▲
== Aina na Shuwa ==
Nigeria
== Aina na Ouddai ==
Niger,Chad na
== Kiarabu fasihi ==
Kiarabu ni
[[Fasihi]] ya Kiarabu isiyo na tabia ya kidini ilikuwa hasa [[Ushairi]]. Washairi kama [[Abu Nuwas]], [[Omar Khayyam]], [[Hafiz]], [[ibn Qayyim al-Jawziyyah]]
Maandishi mengine ya Kiarabu yaliyokuwa muhimu sana ni maandiko ya [[falsafa]] na [[sayansi]]. Waarabu walitafsiri maandiko ya [[Wagiriki wa Kale]] wakaendeleza [[ujuzi]] wao. Katika [[karne]] zilizopita Ulaya ilipokea sehemu kubwa ya [[elimu]] yake kutoka kwa Waarabu kwa njia hiyo.
Tangu [[karne ya 19]] na katika [[karne ya 20]] [[fasihi ya Kiarabu]] imepata uamsho mkuu. [[Khalil Jibran]] wa [[Lebanon]] yuko kati ya washairi wanaosomwa zaidi kimataifa. [[Nagib Mahfuz]] wa [[Misri]] ni mwandishi Mwarabu wa kwanza aliyepokea [[Tuzo ya Nobel ya Fasihi]] mwaka [[1988]].
==Viungo vya nje==
Line 49 ⟶ 56:
[[Jamii:Lugha za Tunisia]]
[[Jamii:Lugha za Syria]]
[[Jamii:Lugha za Saudia]]
[[Jamii:Lugha za Yemen]]
[[Jamii:Lugha za Oman]]
[[Jamii:Lugha za Falme za Kiarabu]]
[[Jamii:Lugha za Katar]]
[[Jamii:Lugha za Bahrein]]
[[Jamii:Lugha za Kuwait]]
[[Jamii:Lugha za Somalia]]
[[Jamii:Lugha za Chad]]
[[Jamii:Lugha za Israel]]
[[Jamii:Lugha za Palestina]]
[[Jamii:Lugha za Komoro]]
|