Kikyrili : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
alfabeti |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kikyrili''' ni aina ya [[mwandiko]] au [[alfabeti]] inayotumiwa kuandika [[lugha]] mbalimbali za [[Ulaya ya Mashariki]] na [[Asia ya Kati]], kwa mfano [[Kirusi]], [[Kiserbia]], [[Kitajiki]].
Jina limetokana na [[mmonaki]] na mtalaamu [[Mgiriki]] [[Kyrilo wa Saloniki|Mt. Kyrilo]] ([[827]] - [[14 Februari]] [[869]]) aliyesemekana aliunda namna hiyo ya mwandiko kwa ajili ya [[lugha za Kislavoni]] pamoja na == Mwandiko kwa ajili ya lugha za Kislavoni ==
Hali halisi hawakuanzisha aina hii ya alfabeti lakini waliendeleza namna ya kuiandika iliyosaidia kusambaza mwandiko kati ya mataifa wasemaji wa lugha za Kislavoni. Lugha
Kuna lugha za Kislavoni, kama vile [[Kipoland]],
Alfabeti za Kikyrili zinatofautiana kiasi kati ya lugha na lugha; kuna namna tofauti za kuandika sauti ileile au pia herufi za pekee kwa ajili ya sauti za pekee katika lugha fulani. Alfabeti inayotumiwa na watu wengi ni ya Kirusi inayoonyeshwa hapa.
Line 17 ⟶ 19:
== Mwandiko wa lugha za Kiasia ==
Kutokana na athira ya [[Urusi]] katika Asia ya
Lugha kadhaa za Kiasia zinazoandikwa siku hizi kwa alfabeti za Kikyrili ni:
* [[Kikazakhi]]
* [[Kikirgizi]]
* [[Kimari]]
* [[Kimongol]]
* [[Kitajiki]]
* [[Kichecheni]]
* [[Kiturkmeni]]
* [[Kiuzbeki]]
=== Mfano wa alfabeti ya Kirusi ===
Line 106 ⟶ 108:
[[Jamii:Mwandiko]]
[[Jamii:Lugha]]
[[Jamii:Lugha za Kislavonia]]
|