Kipindupindu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kipindupindu''' (kwa [[Kilatini]] na [[Kiingereza]] ''cholera'' kutoka neno la [[Kigiriki]] χολέρα, kholera, lililotokana na χολή, kholē, [[nyongo]]) ni [[ugonjwa]] hatari unaosababishwa na [[bakteria]] hasa katika [[utumbo mwembamba].Bakteria hao huitwa [(vibriocholerae)]ambao huweza kusababisha [[kuhara]] sana na [[kutapika]] sana pamoja na [[homa]] kali. Kuambukizwa hutokea hasa kupitia [[maji]] au vyakula vilivyochafuliwa na
Tanzania tunaweza kujilinda na kipindupindu endapo tukajilinda na vitu vifuatavyo ambavyo ni kunywa maji safi na salama na kula chakula kisicho poa. Bila kusahau kusafisha maeneo yote yanayo mzunguka kiumbe hai hasa binadamu. Nchini TANZANIA yatupasa kufanya usafi katika mikoa yetu yote hasa mkoani Daresalaam ambako kunashutumiwa sana kuwa ni mkoa mchafu.
|