Kipindupindu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kipindupindu''' (kwa [[Kilatini]] na [[Kiingereza]] ''cholera'' kutoka neno la [[Kigiriki]] χολέρα, kholera, lililotokana na χολή, kholē, [[nyongo]]) ni [[ugonjwa]] hatari unaosababishwa na [[bakteria]] hasa katika [[utumbo mwembamba]]. Bakteria
Maambukizi hutokea hasa kupitia [[maji]] au [[vyakula]] vilivyochafuliwa na [[wadudu]] kama vile [[nzi]]. Wadudu Kiwango cha kuhara na kutapika kinaleta upungufu wa maji na uwiano wa [[chumvi]] [[Mwili|mwilini]]. Baada ya [[dalili]] hizo kutokea kuna hatari ya [[kifo]] kwa [[asilimia]] 20 - 70 ya wagonjwa kama hawana [[tiba]]. [[Picha:Cholera bacteria SEM.jpg|thumb|right|Bakteria wa ''Vibrio cholerae'']]<ref name=Sherris>
Line 19 ⟶ 24:
| isbn = 978-1-904455-33-2
}}</ref>
[[Picha:Distribution of the cholera.PNG|thumbnail|250px|Kutokea kwa kipindupindu duniani
==Ambukizo==
Kipindupindu husababishwa na bakteria aina ya [[Vibrio cholerae]] zinazosababisha kuhara majimaji yenye rangi kama maji ya kupikia [[mchele]]. Bakteria hiyo ilitambuliwa mwaka [[1854]] na [[Filippo Pacini
[[Robert Koch]] alifaulu mwaka [[1883]] kufuga bakteria kutokana na [[utumbo]] wa watu waliokufa kwa kipindupindu huko [[Misri]].
Kipindupindu hutokea hasa katika nchi pasipo maji safi hasa ambako maji ya kunywa na majimaji ya [[choo]] yanaweza kuchanganyikana. Bakteria ya vibrio cholerae hupatikana hasa katika [[mavi]] na maji ya choo na pia katika maji ya [[bahari]], ma[[ziwa]] na mito kama maji machafu huingizwa katika ma[[gimba]] ya maji bila kusafishwa kwanza. ▼
▲Kipindupindu hutokea hasa katika nchi pasipo maji safi, hasa ambako maji ya kunywa na majimaji ya [[choo]] yanaweza kuchanganyikana. Bakteria ya vibrio cholerae hupatikana hasa katika [[mavi]] na maji ya [[choo]] na pia katika maji ya [[bahari]], ma[[ziwa]] na [[mito]] kama maji machafu huingizwa katika ma[[gimba]] ya maji bila kusafishwa kwanza.
Vilevile [[samaki]] na vyakula vingine kutoka maji yenye bakteria vinachafuliwa na vinaweza kusababisha [[ambukizo]]. Vilevile vyakula vinavyooshwa kwa maji yaliyochafuliwa na bakteria ya kipindupindu.
Katika [[mazingira]] yenye maji ya [[bomba]],
== Matibabu ==
Line 50 ⟶ 57:
== Kuepukana na Kipindupindu ==
Kinga ni kama ifuatavyo:
* wakati wowote kunawa mikono kabla ya kutayarisha au kula chakula, kusafisha vyombo kama [[sahani]], [[vikombe]] n.k.
*
* kuwa na [[akiba]] ya maji yaliyochemshwa pasipo na maji safi ya bomba
* kupika [[chakula]] vizuri maana [[halijoto]] juu ya 75 °C (hadi 85 mlimani) inaua bakteria;
Line 62 ⟶ 68:
* mikono inayoshika wagonjwa au [[nguo]] zao inapaswa kunaniwa kwa [[sabuni]]
* mashimo ya choo yanapaswa kutiwa dawa za kuua bakteria kwa kutumia [[klorini]]
* Tumia maji yaliyotibiwa pekee hasa ikiwa
* Tumia choo kila mara – usiende haja karibu au ndani ya chanzo cha maji.
Line 68 ⟶ 74:
Mnamo miaka [[1816]]-[[1826]] kulikuwa na '''[[janga]] la kwanza la kipindupindu''' mkoani [[Bengal]], nchini [[India]]. [[Waingereza]] 10,000 na [[Wahindi]] walikufa.<ref>[http://www.earlyamerica.com/review/2000_fall/1832_cholera_part1.html The 1832 Cholera Epidemic in New York State], By G. William Beardslee.</ref>
'''Janga la
Mwaka [[1849]], kipindupindu kilizuka tena kwa mara ya pili mjini [[Paris]].<ref>[http://www.oocities.com/CapitolHill/Congress/2807/irishfamine.html The Irish Famine].</ref> Mjini [[London]] watu 14,137 walikufa.
Line 76 ⟶ 82:
Mnamo [[1991]]-[[1994]] kulikuwa na janga lingine huko [[Amerika Kusini]], lililosababishwa na [[meli]] iliyomwaga maji machafu. Nchini [[Peru]] watu takriban 10,000 waliuawa.
Mwaka [[2000]], wagonjwa 14,000 waliripotiwa kuugua
Julai - Desemba [[2007]]: [[ukame]] wa [[maji salama]] kwa ajili ya kunywa nchini [[Irak]] ulisababisha tena janga la kipindupindu.<ref>{{cite news |first= |last= |authorlink= |author= |coauthors= |title=U.N. reports cholera outbreak in northern Iraq |url=http://www.cnn.com/2007/WORLD/meast/08/29/iraq.cholera/index.html |work= |publisher=CNN |id= |pages= |page= |date= |accessdate=2007-08-30 |quote= }}</ref> Watu 22 walifariki.<ref>[http://www.guardian.co.uk/world/2007/dec/02/iraq.davidsmith Cholera crisis hits Baghdad], The Observer, 2 Desemba 2007.</ref>
Mnamo Agosti [[2007]] jimboni [[Orissa]], [[India]], zaidi ya watu 2,000 walilazwa [[Hospitali|hospitalini]].<ref>[http://news.bbc.co.uk/2/hi/south_asia/6968281.stm Cholera death toll in India rises], BBC News.</ref>
Machi - Aprili [[2008]]: watu 2,490 walilazwa hospitalini nchini [[Vietnam]] kutokana na janga la kipindupindu.<ref>[http://www.who.int/cholera/countries/VietNamCountryProfile2008.pdf Cholera Country Profile: Vietnam]. WHO.</ref>
Line 101 ⟶ 107:
*[http://kenya.thebeehive.org/sw/content/124/965 Maelezo ya kipindupindu na namna za kujikinga kwenye beehive.com (swa.)]
[[Jamii:
[[Jamii:Maradhi ya kuambukiza]]
|