Damu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Removing "Blood_smear.jpg", it has been deleted from Commons by JuTa because: No source since 12 March 2016. |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:Red White Blood cells.jpg|thumb|right|Picha ya darubini ya elektroni ya ukaguzi (SEM) ya seli nyekundu ya kawaida ya damu, chembe za kugandisha damu, na seli nyeupe za damu.]]
[[File:Blutkreislauf.png|thumb|Mzunguko wa damu: Nyekundu = yenye oksijeni Buluu = bila oksijeni]]
Line 7 ⟶ 5:
[[File:320fishblood600x2.jpg|thumb|right|Damu ya samaki iliyokuzwa mara 600 ]]
[[Picha:Bleeding finger.jpg|thumb||Damu ikitoka kwenye kidonda]]
'''Damu''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni [[kiowevu]] katika [[mwili]] wa [[binadamu]] na [[wanyama]]. Inazunguka mwilini ikisukumwa na [[moyo]] ndani ya [[mishipa ya damu]] kwa lengo la kumwezesha kuishi.
Kazi
Ndani ya damu kuna [[utegili (damu)|utegili]] (kwa [[Kiingereza]] ''plasma'') ambao ni kiowevu chake pamoja na [[seli za damu]] [[nyekundu]] na [[nyeupe]]. [[Seli nyekundu]] hubeba oksijeni wakati daioksaidi ya kaboni hubebwa na utegili. [[Seli nyeupe]] ni kama walinzi wa mwili wa kupambana na [[magonjwa]]. Pia kuna [[chembe sahani]].
Mtu mzima huwa na damu [[lita]] 6 mwilini.
Line 25 ⟶ 23:
</ref> na ina [[protini]], [[glukosi]], [[ioni]] za [[madini]], [[homoni]], [[Dioksidi kabonia|dioksidi ya kaboni]] (Plasma ikiwa ndiyo chombo kikuu cha usafirishaji wa bidhaa taka), [[chembe za kugandisha damu]] na seli za damu zenyewe. Seli za damu zilizo kwenye damu hasa ni seli nyekundu za damu (zinazofahamika pia kama RBC yaani Red Blood Cells au erithrosaiti) na seli nyeupe za damu, zikiwa pamoja na lukosaiti na chembe za kugandisha damu.
Seli nyingi zaidi katika damu za wanyama wenye [[uti wa mgongo]] ni seli nyekundu za damu. Seli hizi zina himoglobini, protini yenye [[Chuma|madini ya chuma,]] ambayo huwezesha usafirishaji wa [[Oksijeni|oksijeni]] kwa kujiunganisha kwa hali ya kujirudia na gesi hii ya kupumua na kuongeza kwa kiasi kikubwa umumunyifu wake katika damu. Kwa upande mwingine, dioksidi ya kaboni inasafirishwa karibu kabisa nje ya seli ikiwa imeyeyushwa ndani ya plazma kama ioni ya bikaboneti.
Damu ya wanyama wenye uti wa mgongo huwa ni nyekundu yenye kung'aa wakati ambapo himoglobini yake imewekewa oksijeni. Wanyama wengine, kama vile krusteshia na moluska, hutumia hemosianini kubeba oksijeni, badala ya himoglobini. [[Wadudu|Wadudu]] na baadhi ya moluska hutumia ugiligili unaoitwa hemolimfu badala ya damu, tofauti ikiwa kwamba hemolimfu haipatikani katika mfumo wa usambazaji[[]] uliofungwa. Katika wadudu wengi, "damu" hii haina molekuli zinazobeba oksijeni kama vile himoglobini kwa sababu miili yao ni midogo na hivyo mfumo wao wa kupumua unatosha kusambaza oksijeni.
Wanyama wenye uti wa mgongo na walio pia na [[taya]] wana [[Mfumo wa kingamaradhi|mfumo rekebishi wa kinga]], unaotegemea seli nyeupe za damu kwa kiasi kikubwa. Seli nyeupe za damu husaidia kupinga maambukizi na [[vimelea]]. Chembe za kugandisha damu ni muhimu katika ugandishaji wa damu. <ref>{{cite book
| last = Maton
| first = Anthea
Line 42 ⟶ 40:
Damu inasambazwa mwilini kupitia mishipa ya damu kutokana na usukumaji wa [[Moyo|moyo.]] Katika wanyama wenye [[Mapafu|mapafu,]] damu kutoka kwa ateri hubeba oksijeni kutoka kwa hewa iliyovutwa hadi kwenye tishu za mwili, na damu kutoka kwa vena hubeba dioksidi ya kaboni, bidhaa taka zinazotokana na umetaboli, zinazozalishwa na [[Seli|seli]], kutoka kwa tishu hadi kwa [[Mapafu|mapafu]] ili zitolewe.
Istilahi za uuguzi zinazohusiana na damu mara nyingi huanza kwa
==Kazi==
[[File:1GZX Haemoglobin.png|right|thumb|Himoglobinikijani = kikundi cha heme nyekundu & buluu = visehemu vya protini]]
[[File:Heme.svg|right|thumb|Heme]]
Damu hufanya kazi nyingi muhimu katika mwili, zikiwemo:
* Upelekaji wa [[Oksijeni|oksijeni]] kwenye tishu (zilizoungana na himoglobini, ambayo hubebwa kwenye seli nyekundu)
* Ugavi wa virutubishi kama vile glukosi, amino asidi, na asidi zenye mafuta (zilizoyeyushwa kwenye damu au zimeungana na protini za plazma (kwa mfano, lipidi za damu)
Line 66 ⟶ 64:
===Seli===
Mikrolita moja ya damu ina:
*
|url = http://www.nlm.nih.gov/medlineplus/ency/article/003644.htm#Normal%20Values
|title = Medical Encyclopedia: RBC count|publisher = Medline Plus|accessdate = 18 November 2007
}}</ref> Katika mamalia wengi, seli nyekundu za damu zilizokomaa zinakosa kiini na oganeli''' . Zina himogloboni za damu na husambaza oksijeni. Seli nyekundu za damu (pamoja na seli za vyombo vya endotheli na seli nyingine) pia zimetiwa alama na glaikoprotini ambazo zinatambulisha aina za damu tofauti. Kiwango cha damu kinachomilikiwa na seli nyekundu za damu kinajulikana kama hematokriti, na kwa kawaida ni takriban 45% ya damu. Ukubwa wa eneo la seli zote nyekundu za damu katika mwili wa binadamu zikiwekwa pamoja utakuwa takribani mara 2,000 kubwa zaidi ya sehemu ya nje ya mwili. <ref>{{cite book |author=Robert B. Tallitsch; Martini, Frederic; Timmons, Michael J. |title=Human anatomy |publisher=Pearson/Benjamin Cummings |location=San Francisco |year=2006 |page=529 |isbn=0-8053-7211-3 |edition=5th}}</ref>
*
*
{| class="wikitable" align="right"
Line 112 ⟶ 110:
* Elektrolaiti mbalimbali (hasa [[Natiri|sodiamu]] na kloridi)
Neno
===Kadiri ndogo ya thamani za pH===
Line 204 ⟶ 202:
}}</ref> na hugeuka kuwa buluu iliyokoza wakati inapoachwa wazi kwa oksijeni iliyo kwenye hewa, kama ilivyo wakati vinatoka damu. <ref name="AHC 2004 p276-7"></ref> Hii ni kutokana na mabadiliko ya rangi ya himosianini wakati inapoongezewa oksijeni. <ref name="AHC 2004 p276-7"></ref> Himosianini hubeba oksijeni katika giligili iliyo nje ya seli, ambayo ni tofauti na usafirishaji wa oksijeni ndani ya seli kwa mamalia kupitia himolobini katika RBC. <ref name="AHC 2004 p276-7"></ref>
==
===Matatizo makuu ya kimatibabu===
* Matatizo ya kiwango
** Jeraha linaweza kusababisha upotezaji wa damu kupitia kutoka damu. <ref>{{cite web|url = http://www.fi.edu/learn/heart/blood/blood.html|title = Blood - The Human heart|publisher = The Franklin Institute|accessdate = 19 March 2009}}</ref> Mtu mzima mwenye afya anaweza kupoteza karibu 20% ya kiasi cha damu (1 L) kabla ya dalili ya kwanza, kutotulia, kuanza, na 40% ya kiasi cha damu(2 L) kabla ya mshtuko. Thrombosaiti ni muhimu kwa ugandishaji na uundaji wa madonge ya damu, ambayo inaweza kusimamisha upotezaji wa damu. Majeraha mabaya kwa viungo vya ndani au kwa mifupa yanaweza kusababisha kutokwa na damu kwa ndani, ambayo wakati mwingine unaweza kuwa kali.
** Kuishiwa maji mwilini kunaweza kupunguza kiasi cha damu kwa kupunguza kiwango cha katika damu. Mara nadra, hii inaweza kusababisha mshtuko (isipokuwa katika kesi kali sana) lakini huweza kusababisha kupungua kwa shinikizo la damu kunakosababishwa na kusimama na kuzirai.
* Matatizo ya mzunguko
** Mshtuko ni upiliziaji usio bora wa tishu, na unaweza kusababishwa na hali mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupoteza damu, maambukizi, kupunguka kwa uwezo wa moyo wa kusukuma damu.
Line 216 ⟶ 215:
===Matatizo ya kihematolojia===
* Upungufu wa damu mwilini
** Idadi ndogo ya seli nyekundu (anemia) inaweza kusababishwa na kutoka damu, matatizo ya damu kama vile thalasemia, au ukosefu wa virutubishi, na inaweza kuhitaji kuongezewa damu. Nchi kadhaa zina benki ya damu zinazokidhi mahitaji ya damu kwa damu inayoweza kuongezewa. Mtu anayepokea damu lazima awe na aina ya damu iliyo sambamba na ile ya mtoaji damu.
Line 233 ⟶ 231:
* Magonjwa ya kuambukizwa kwa damu
** Damu ni chombo kikubwa cha maambukizi. Virusi vya HIV, vinavyosababisha [[Ukimwi|UKIMWI,]] huambukizwa kupitia mgusano na damu, shahawa, au majimaji mengine yanayotoka mwilini mwa mtu aliyeambukizwa. Homa ya manjano aina ya B na C husambazwa hasa kwa njia ya mgusano na damu. Kutokana na maambukizi yanayotokana na damu, vitu vilivyo na damu huchukuliwa kama bayohatari.
** Maambukizi ya bakteria kwenye damu ni uwepobakteria au sepsisi. Kuambukizwa virusi ni viremia. [[
===Usumisho wa monoksidi ya kaboni===
Dutu zingine bali na oksijeni zinaweza kuungana na himoglobini, wakati mwingine hali hii inaweza kuleta madhara yasiyoweza kubadilishwa kwa mwili. [[Monoksidi ya kaboni]], kwa mfano, ni hatari sana inapobebwa hadi kwenye damu kupitia mapafu kwa kuvuta pumzi, kwa sababu monoksidi ya kaboni hushikana kabisa na himoglobini na kuunda himoglobini kaboksili, hivi kwamba himoglobini kidogo zaidi ina uhuru wa kuungana na oksijeni, na hivyo kiwango cha chni zaidi cha oksijeni kinaweza kusafirishwa katika damu. Hali hii huweza kusababisha kukosekana kwa hewa kwa njia fichu. Moto katika chumba kilichofungwa na kisicho na tundu za kuingiza hewa ni hatari sana, kwa kuwa kinaweza kukusanya monoksidi ya kaboni katika hewa. Kiasi fulani cha monoksidi ya kaboni huungana na himoglobini wakati wa uvutaji wa [[
==Madawa ya matibabu==
===Bidhaa za damu===
{{see|
Damu ya kuongezewa hutolewa kutoka kwa binadamu kwa uchangaji wa damu na kuhifadhiwa katika benki ya damu. Kuna aina nyingi za damu katika binadamu, mfumo wa kikundi cha damu cha ÅBO, na mfumo wa kikundi cha damu cha Rhesasi ambayo ndiyo muhimu zaidi. Kuongezewa damu ya kikundi kisichokubaliana na kikundi fulani cha damu kunaweza kusababisha matatizo makali, ambayo mara nyingi ni mabaya, kwa hivyo ulinganishaji mtambuko hufanywa ili kuhakikisha kuwa bidhaa ya damu iliyo sambamba inaongezewa.
Line 251 ⟶ 249:
===Uondoaji wa damu===
Katika matibabu yenye misingi
▲Katika matibabu yenye misingi ya ushahidi ya kisasa, uondoaji damu hutumika kudhibiti magonjwa yasiyo ya kawaida, ikiwa ni pamoja na hemokromatosia na kuongezeka kwa chembe nyekundu za damu. Hata hivyo, uondoaji wa damu na unyonyaji damu zilikuwa njia maarufu ambazo zilikuwa hazijahalalishwa zilizotumika hadi karne ya 19, kwa kuwa magonjwa mengi yalidhaniwa kimakosa kuwa yalitokana na kiwango cha juu cha damu, kulingana na matibabu ya Hippocrates.
==Historia==
===Dawa rasmi ya Ugiriki===
Katika dawa rasmi ya Kigiriki, damu ilihusishwa na hewa, majira ya kuchipuka, na kwa nafsi ya sherehe na ulafi ''(sanguine)'' . Pia iliaminika kuwa zilizalishwa na ini pekee.
Line 269 ⟶ 264:
===Waaustralia asili===
Katika desturi za
Katika tamaduni na sherehe nyingi za Aborijini, ngeu nyekundu hupakwa katika sehemu zote za miili uchi za wachezaji. Katika sherehe za siri na takatifu za kiume, damu iliyoondolewa kutoka kwenye vena za mikono ya mshiriki hubadilishwa na kusuguliwa juu ya miili yao. Ngeu nyekundu pia hutumiwa kwa njia sawa na hii katika sherehe zisizo za siri. Damu pia hutumika kushikilia manyoya ya ndege kwenye miili ya watu. Manyoya ya ndege huwa na protini ambayo ina kiwango cha juu cha hisi ya magnetiki. <ref>{{cite book |author=Lawlor, Robert |title=Voices of the first day: awakening in the Aboriginal dreamtime |publisher=Inner Traditions International |location=Rochester, Vt |year=1991 |pages=102–3 |isbn=0-89281-355-5 }}</ref></blockquote> Lawlor anasema kuwa damu inayotumika kwa njia hii inaaminika na watu hawa kuwa inawaunganisha wachezaji na dunia yenye nguvu isiyoonekana ya wakati wa ndoto. Lawlor maeneo haya yenye nguvu zisizoonekana na maeneo ya sumaku, kwa kuwa chuma ina sumaku.
===Upagani katika Indo-Uropa===
Kati ya ma[[kabila]]
[[Ugiriki ya Kale|Wagiriki wa Kale]] waliamini kuwa damu ya miungu, ''ichor,'' ilikuwa ni madini ambayo ilikuwa sumu kwa binaadamu.
Line 299 ⟶ 294:
===Mashahidi wa Yehova===
Kulingana na tafsiri yao ya maandiko kama vile Matendo 15:28, 29 ("Endelea kujitenga ... na damu."), Mashahidi wa Yehova hawali damu wala kukubali kuongezewa damu yote au sehemu kuu za damu: seli nyekundu za damu, chembechembe nyeupe za damu, chembe za kugandisha damu(thrombositi), na plazma. Wanachama wanaweza kujiamulia binafsi ikiwa watakubali taratibu za matibabu zinazohusisha damu yao wenyewe au dutu ambazo zinagawanywa zaidi kutoka kwa sehemu nne kuu.<ref>[71] ^ ''The Watchtower'' Juni 15, 2004, ukurasa wa 22, "Be Guided by the Living God" (Kuongozwa na Mungu aliye hai)</ref>
Line 306 ⟶ 300:
===Kashfa za damu===
Makundi mbalimbali ya kidini na makundi mengine yamepewa shutuma za uongo kuwa yanatumia damu ya binadamu katika matambiko; shutuma hizo zinajulikana kama kashfa za damu. Aina maarufu sana ya kashfa hii ni kashfa ya damu dhidi ya Wayahudi. Ingawa hakuna tambiko inayohusisha damu ya binadamu katika sheria au desturi za Kiyahudi, uongo wa aina hii (mara nyingi unaohusiana na mauaji ya watoto) ulitumika sana katika [[Zama za Kati|Zama za Kati]] kuhalalisha mateso Dhidi ya Wayahudi.
===Hekaya kuhusu wanyonya damu===
Wanyonya damu ni viumbe vya [[visasili]] vinavyokunywa damu moja kwa moja ili viendelee kuishi, na hupendelea zaidi damu ya binadamu. Tamaduni kote duniani huwa na visasili vya aina hii, kwa mfano 'kisasili cha Nosferatu, binadamu anayepata kuhukumiwa na asiyekufa kwa kunywa damu ya wengine, inatokana na elimu ya mila na desturi za jamii za Mashariki mwa Ulaya. Kupe, ruba, mbu za kike, popo zinazonyonya damu, na viumbe vingine vingi vya kiasili hunywa damu, lakini ni popo pekee anaohusishwa na wanyonya damu. Hii haina uhusiano na popo wanyonyaji damu, ambao ni viumbe vya dunia mpya waliogunduliwa baada ya asili ya visasili vya Ulaya.▼
▲Wanyonya damu ni viumbe vya visasili vinavyokunywa damu moja kwa moja ili viendelee kuishi, na hupendelea zaidi damu ya binadamu. Tamaduni kote duniani huwa na visasili vya aina hii, kwa mfano 'kisasili cha Nosferatu, binadamu anayepata kuhukumiwa na asiyekufa kwa kunywa damu ya wengine, inatokana na elimu ya mila na desturi za jamii za Mashariki mwa Ulaya. Kupe, ruba, mbu za kike, popo zinazonyonya damu, na viumbe vingine vingi vya kiasili hunywa damu, lakini ni popo pekee anaohusishwa na wanyonya damu. Hii haina uhusiano na popo wanyonyaji damu, ambao ni viumbe vya dunia mpya waliogunduliwa baada ya asili ya visasili vya Ulaya.
==Matumizi==
===Katika sayansi-tumizi===
Mabaki ya damu yanaweza kuwasaidia wapelelezi wa mahakama kutambua [[silaha]], kuunda upya kitendo cha uhalifu, na kuwahusisha watuhumiwa na uhalifu. Kupitia uchambuzi wa sampuli ya damu, habari za mahakama pia zinaweza kupatikana kutoka kwa usambazaji wa nafasi katika sampuli za damu.
Uchambuzi wa mabaki ya damu pia ni mbinu inayotumika katika [[akiolojia]].
===Katika sanaa===
Damu ni mojawapo kati ya ugiligili wa mwili ambao umetumika katika sanaa. <ref>
===Katika ukoo na historia ya familia===
Neno ''damu,''
==Tazama
* [[Upokeaji damu ya mtu aliyeitoa mbeleni]]
* [[Damu kama chakula]]
Line 345 ⟶ 337:
[[Category:Damu]]
[[Category:
|