Damu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 284:
===Ukristo===
{{main|Ekaristi}}
Kwa Wakristo [[damu ya Kristo]] huonekanahusadikiwa kamakuwa njia pekee ya [[upatanisho]] kwa ajili ya [[dhambi]] ([[1Yoh]] 1:7; [[Ufu]] 1:5): ndiye mwanakondoo wa kweli ambaye damu yake inawapa nguvu ya kumshinda [[shetani]] (Ufu 12:11).
 
Katika damu hiyo Mungu alifanya na watu [[agano jipya]] la [[milele]], kama alivyotangaza Yesu mwenyewe katika [[karamu ya mwisho]] na [[Mitume wa Yesu|mitume]] wake.
 
Baadhi ya [[madhehebu]] ya [[Ukristo]], yakiwa ni pamoja na Kanisa Katoliki, [[Waorthodoksi]], [[Waorthodoksi wa Mashariki]] na [[Kanisa la Asiria]] la Mashariki hufundisha kwamba, baada ya kuwekwa [[wakfu]], [[divai]] ya [[Ekaristi]] hubadilika na kuwa damu ya [[Yesu]]. Hivyo, katika divai takatifu, Yesu anakuwa yupo kiroho na kimwili. Mafundisho hayo yana misingi yake katika [[Karamu ya mwisho]], kama ilivyoandikwa katika [[Injili]] nne za [[Biblia ya Kikristo]], ambapo Yesu aliwaambia wanafunzi wake kuwa [[mkate]] walioula ni mwili wake, na divai ni damu yake. "[[Kikombe]] hiki ni [[agano jipya]] katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu." ([[Lk|Luka]] 22:20).
 
[[Teolojia]] ya [[Walutheri]] hufunza kuwa mwili na damu ziko pamoja "katika, pamoja na, na chini ya" mkate na divai ya [[sherehe]] ya Ekaristi. Aina nyingine za [[Uprotestanti]], hasa [[Wamethodisti]Wapresbiteri] na [[WapresbiteriWamethodisti]], hufundisha kuwa divai ni alama tu ya damu ya Kristo, ambaye yuko kiroho lakini hayuko kimwili.
 
Upande wa damu ya wanyama, [[Mitume wa Yesu|mitume]] na [[Mzee|wazee]] wa [[Kanisa]] katika [[Mtaguso wa Yerusalemu]] ([[49]] hivi) walipiga marufuku kwa Wakristo kunywa damu, pengine kwa sababu hii ilikuwa amri aliyopewa [[Nuhu]] ([[Mwanzo (Biblia)|(Mwanzo]] 9:4, tazama [[Sheria ya Nuhu]]). [[Amri]] hii iliendelea kufuatwa na Waorthodoksi huko Mashariki., Kumbeingawa [[wataalamu]] wa [[Biblia ya Kikristo]] wanaonyesha kwamba katazo hilo, na mengine matatu yaliyoendana nalo, yalitolewa tu ili [[Wakristo wa Kiyahudi]] wasikwazike katika kushirikiana na [[Wakristo wa mataifa]] wasiojisikia kubanwa na masharti yote ya [[Torati]].
 
===Uislamu===