Mwasauya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
d fixing broken link
Mstari 1:
'''Mwasauya''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Singida Vijijini]] katika [[Mkoa wa Singida]], [[Tanzania]].
 
Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 11,032 waishio humo<ref>[http://http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Singida - Singida District Council]</ref>, lakini mpaka tarehe 8/9/2016 kata hii inakadiriwa kuwa na wakazi 12,844, wakiwemo [[wanawake]] 6,589 na [[wanaume]] 6,255.
 
Kata hii imezaliwa na kata ya [[Ikhanoda]] na ina [[Kijiji|vijiji]] vitatu ambavyo ni Ngamu, Mdilu na Mwasauya, ila kijiji kimoja tu ambacho kina [[umeme]]: ni kijiji cha Ngamu.