Muazuki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa mpya |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 21:07, 13 Septemba 2016
Muazuki (Vigna angularis) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Muazuki
| ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Muazuki (Vigna angularis) ni mmea wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa azuki. Asili yake ni Asia ya Mashariki, Japani hasa. Katika Afrika ya Mashariki mmea huu hukuzwa mahali pachache, huko Somalia hasa. Azuki ni kiambato muhimu cha chakula cha Kisomali.
Picha
-
Majani
-
Ua
-
Tumba bichi
-
Azuki