Tanganyika African National Union : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
+tazama pia
Mstari 58:
 
Julius Nyerere alipewa kadi ya TANU Na. 1, kadi Na. 2 ikaenda kwa Ally Sykes na Abdulwahid akachukua kadi ya TANU Na. 3, Dossa Azizi alichukua kadi Na. 4, kadi Na. 5 ikaenda kwa Phombeah. Dome Okochi alipata kadi Na. 6, John Rupia Na. 7, Bibi [[Titi Mohamed]] kadi Na. 16 na Idd Tosiri kadi Na. 25.
==Tazama pia==
*[[Kura Tatu]]
[[Category:Siasa ya Tanzania|TANU]]
[[Category:Historia ya Tanzania|TANU]]