Kazi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Workers digging Cedar River Pipeline, 1899.jpg|thumb|[[Wachimbaji]] wa [[mfereji]] wa [[maji]] kwenye [[mto Cedar]], [[Washington]] ([[1899]]).]]
[[Picha:Classic view of The Thinker (8437831806).jpg|thumb|[[Mwanafalsafa]] kazini<br> <small>(alivyoonyeshwa na sanamu ya [[August Rodin]], "Le penseur" (= Mwenye kufikiri).]]</small>
[[File:Lewis Hine Power house mechanic working on steam pump.jpg|thumb|upright|[[Mfanyakazi]] akishughulikia [[mashine]] (picha ya [[Lewis Hine]], [[1920]]).]]
'''Kazi''' ni sehemu muhimu ya [[maisha]] ya [[binadamu]], hivyo ina nafasi kubwa katika [[anthropolojia]], [[falsafa]], [[teolojia]],[[fizikia]] na [[sosholojia]].
 
Inafafanuliwa kama [[utendaji]] unatumia [[nguvu]] ya [[akili]] au ya [[mwili]] ili kufikia lengo fulani, ambalo mara nyingi ni [[faida]] ya [[uchumi|kiuchumi]] ili kuwakuweza na kuwezesha kuendelea kuishi.
 
Lakini [[thamani]] yake halisi haiishii katika [[uzalishaji]] wa vitu, bali inategemea hasa ustawishaji wa [[utu]] katika vipawa vyake vyote kulingana na [[maadili]] na [[maisha ya kiroho]].
Ni mchango muhimu katika [[jamii]] na inayostahili kuheshimiwa na kutuzwa.
 
Kwa msingi huo, ni [[wajibu]] wa kila mtu aliyefikia [[ukomavu]] fulani.
 
Ni pia mchango muhimu katika [[jamii]] na inayostahili kuheshimiwa na kutuzwa na wote, kuanzia [[serikali]].
 
{{mbegu}}