Ukuta wa China : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5:
 
== Historia ya ukuta ==
Ukuta ulijengwa na nasaba mbalimbali za watawala wa China tangu mwaka 200 [[KK]]. Shabaha yake ilikuwa ulinzi wa milki dhidi ya mataifa na makabila wa kaskazini walioendelea kushambulia China. Watu wa kaskazini walikuwa wahamiaji waliotumia farasi na ngamia hivyo haukuwahaikuwa rahisi kujua ni wapi watakaojaribu kuingia.
 
Ukuta jinsi ilivyo ni ukuta wa [[nasaba ya Ming]] uliojengwa kuanzia mnamo mwaka 1500. ManmoMnamo mwaka 1700 ukuta haukutunzwa tena kwa sababu katika karne ya 17 sehemu kubwa za Mongolia nje ya ukuta ziliunganishwa na China.
 
== Vipimo ==