Wasaksoni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
'''Wasaksoni''' (kwa [[Kilatini]] Saxones, kwa [[lugha]] za [[Kijerumaniki]] Seaxe, Sahson, Sassen, Sachsen, Saksen, kutoka "seax", jina la [[kisu]] maalumu walichotumia) walikuwa [[shirikisho]] la ma[[kabila]] kadhaa ya [[Wagermanik]] wakazi wa [[Ujerumani]] [[Kaskazini]] walioenea katika sehemu za jirani.
Baadhi yao, pamoja na jirani zao [[Waangli]], jumla watu 200,000 hivi, walivamia [[Britania]] katika [[karne ya 5]] [[BK]] na baada ya hapo, wakiweka msingi wa [[Uingereza]] wa leo.
Wengine wao walibaki katika Ujerumani ya Kaskazini wakapingana na [[milki]] ya [[Wafaranki]] na hatimaye kushindwa na [[Karolo Mkuu]].
Katika [[karne ya 9]] [[utemi wa Saksonia]] ulianza kuwa muhimu katika [[Dola la Ujerumani|milki ya Ujerumani]] hadi mwaka [[919]] [[mtemi]] [[Heinrich I]] alichaguliwa kuwa [[mfalme]] wa Ujerumani.
Watawala Wasaksoni waliendelea kuongoza milki ya Wajerumani hadi mwaka [[1024]] hata Baadaye mtemi wa Saksonia alishindana na Tangu siku zile jina la "[[Saksonia]]" linataja maeneo upande wa kusini wa [[Berlin]] ya leo. ==Tanbihi==
|