Patrice Lumumba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 48:
===Uongozi wa MNC===
Mnamo mwezi wa Octoba, mwaka 1959, Lumumba, kama kiongozi wa chama cha MNC, alikamatwa kwa kosa la kuchochea vurugu
Maadhimisho ya uhuru wa Congo kwa mra ya kwanza yalifanyika mnamo tarehe 30 June 1960 ambapo maadhim,isho hayo yalihudhuriwa pia na [[w:Baudouin of Belgium|Mfarme Baudouin]]wa [[w:Ubeljiji|Ubeljiji]] pamoja na vyombo mbalimbali vya habari kutoka nchi za nje. Lumumba alitoa hotuba yake kama Waziri mkuu katika nchi huru japo yeyre alikuwa ameenguliwa katika ratiba ya shughuli hiyo.<ref name="speech">{{cite web|title = hotuba ya siku ya maadhimisho ya uhuru |mchapishaji=Africa Within|url=http://www.africawithin.com/lumumba/independence_speech.htm| accessdate=15 July 2006}}</ref> Hotuba ya Mfalme wa Ubeljiji [[w:Baudouin|Mfalme Baudouin]] alihutubia kwa kutukuza utawala wa [[w:colonialism|kikoloni]], huku akilingania fikra za mjombae ambae alikuwa mfalme wa [[w:Belgium|Ubeljiji]] akiitwa [[w:Léopold II of Belgium| Léopold wa Pili]] glossing over atrocities committed during the [[w:Congo Free State|Taifa huru la congo]].<ref name="ac"/> Mfalme aliendelea kutoa masharti, "aliwataka kuto kufanya mabadiliko yoyote mpaka hapo wao watakapo ona kwamba wanaweza kufanya vyema, na kwamba hawakutakiwa kufanya mabadiliko yoyote yalika bidhiwa na kwamba tutaendelea kutoa ushauri. "<ref name=chukw>Kamalu, Chukwunyere. ''Kitabu cha historia ya wafrica –Africa nyeusi kutoka katika uharisia wa mwanadamu''.ukurasa wa 115</ref> Lumumba aliufahamisha umma kwamba uhuru uliotolewa na wabeljiji sio haukuja hivihivi:<ref name=chukw />
|