Kilimo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 3:
 
Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya uzalishaji [[mimea]], [[ufugaji]] wa [[wanyama]], na [[uvuvi]] wa [[samaki]]. Mara nyingi kilimo cha mimea kinaenda sambamba na [[ufugaji]] wa wanyama.
Nchini Tanzania ili kilimo kuendelea wakulima wanatakiwa kupewa elimu,kupewa mikopo ya pesa, na pia wanatakiwa kujishughulisha na kilimo cha umwagiliaji na si tu kutegemea mvua.
Watu hupanda mimea na kuitunza hadi [[mavuno]] hasa kwa uzalishaji wa [[chakula]] cha [[binadamu]] na [[lishe]] ya wanyama, lakini pia kwa shabaha ya kupata [[malighafi]] mbalimbali zinazotumiwa kwa kutengeneza [[nguo]] za watu.
Line 10 ⟶ 9:
 
==Katika uchumi==
Kilimo ni mojawapo ya [[shughuli]] za mwanadamu ambayo humsaidia kupata mazao kwa ajili ya chakula na mazao mengine kwa ajili ya [[biashara]] ambayo inaweza kumuingizia kipato kwa ajili ya [[maisha]] yake, pia kipato hicho husaidia katika kukuza [[uchumi]] wa nchi yake ili hatimaye itakuwa imejikomboa kiuchumi.
 
Sekta hiyo ndiyo kiinua uchumi kikubwa kwa mataifa mengi.
 
Kwa jumla serikali zinatakiwa zitoe [[kipaumbele]] kwa sekta ya kilimo ili kuepukana na ma[[janga]] yala [[njaa]]: mojawapo ya mahitaji makuu ya mwanadamu ni [[chakula]].
 
[[Serikali]] zinatakiwa zizidi kuongeza [[zana]] za kilimo ili watu waweze kupata kwa wingi [[mazao ya biashara]] na [[mazao ya chakula]].
Line 20 ⟶ 19:
Pia serikali itoe [[elimu]] juu ya kilimo bora kama [[kitega uchumi]] ambacho huwasaidia watu kujipatia mazao na kipato cha kwao ili kuendesha [[maisha]] yao binafsi.
 
Nchini Tanzania ili kilimo kuendelea wakulimaWakulima wanatakiwa kupewa elimu,kupewa mikopo ya [[pesa]], na pia wanatakiwa kujishughulisha na [[kilimo cha umwagiliaji na]], si tu kutegemea [[mvua]].
== Historia ==
Watu walianza kulima takriban miaka 10,000 iliyopita na kabla ya hapo watu waliwinda tu na kukusanya [[matunda]]. Kuna vikundi vidogo ambavyo vinaendelea na maisha haya hadi leo, lakini siku hizi zaidi ya [[asilimia]] 99 za binadamu hupata chakula kutokana na kilimo.