Ujerumani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 80:
== Jiografia ==
Ujerumani unaenea kati ya [[
Mipaka yake upande wa [[magharibi]] na [[mashariki]] ilibadilika mara nyingi katika [[historia]] yake;
Tangu mwaka [[1945]] mpaka wa mashariki ni [[mto]] [[Oder]] dhidi ya Poland na vilele vya [[Milima ya Madini]] ([[jer.]] ''Erzgebirge'') na [[Msitu wa Bohemia]].
Kuna kanda tatu za kijiografia:▼
Upande wa magharibi mpaka dhidi ya Ufaransa ni mto [[Rhein]] pamoja na vilima kati ya [[Alsasi]] na [[Rhine-Palatino]] na vilima dhidi ya [[Luxenburg]] na milima ya [[Eifel]] dhidi ya [[Ubelgiji]]. Mpaka dhidi ya Uholanzi katika magharibi kaskazini inapita katika tambarare iifuata mistari ya kihistoria.
* [[tambarare]] ya [[pwani]] ya kaskazini
* kanda ya vilima
|