Roskosmos : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
'''Roskosmos''' ([[rus.]] Роскосмос) ni jina la kifupi la shirika la serikali ya [[Urusi]] kwa shughuli za kiraia kwenye [[anga la nje]]. Jina kamili kwa [[Kirusi]] ni Государственная корпорация по космической деятельности (''gosudarstvenaya korporatsiya po kosmocheskoi deyatelnosti'' "shirika ya kiserikali ya shughuli za angani").
Shirika hili lilianzishwa tarehe 1 Januari 2016 kwa amri ya rais [[
Linahusika na miradi yote ya kiraia (tofauti na miradi ya kijeshi) ya Urusi. Makao makuu yapo Moscow na kituo cha kufunza wanaanga huko kwenye "Mji wa nyota" ([[Swjosdny Gorodok]]). Kituo cha kurusha roketi kinapatikana [[Baikonur]] katika [[Kazakhstan]] iliyokuwa kituo cha [[Umoja wa Kisovyeti]].
|