Melilla : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 94 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q5831 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Melilla mji.PNG|thumb|right|300px|Ramani ya mji wa Melilla]]
'''Melilla''' (tamka: me-li-ya; kwa [[Kiarabu]]: '''مليلية''', Meliliya; jina rasmi: Ciudad Autónoma de Melilla = Mji wa kujitawala wa Melilla) ni [[mji]] wa [[Hispania]] kwenye [[pwani]] ya [[Mediteranea]] unaozungukwa na eneo la [[Moroko]] upande wa bara. Umbali na Hispania bara ni takriban [[km]] 170 kuvuka [[bahari]]. Mji ulio karibu upande wa Moroko ni [[Nador]] kwenye umbali wa km 15.
==Watu==
Melilla ina wakazi 65,500 (mwaka [[2005]]) katika eneo la
[[Uchumi]] unategemea [[uvuvi]] pamoja na [[biashara]] ya mpakani. [[Pesa rasmi]] ni [[Euro]].
== Historia ==
[[Historia]] yake ilianza zaidi ya miaka 2000 iliyopita ikaundwa kwa jina la Rusadir. Ikawa sehemu ya [[Dola la Roma]] katika jimbo la [[Mauretania Tingitana]]. Eneo lake lilipiganiwa kuanzia mwaka [[429]] [[BK]] kati ya
Karibu kabla ya mwaka [[700]] BK Waarabu Waislamu walivamia eneo la pwani Wahispania walifaulu kubaki na mji katika [[vita]] mbalimbali za [[karne]] zilizofuata. Mwaka [[1936]] [[vita {{Mbegu-jio-Hispania}}
|