Galaksi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) |
No edit summary |
||
Mstari 5:
Kuna galaksi nyingi sana [[ulimwengu]]ni. Kwa [[wastani]] kila galaksi imekadiriwa kuwa na nyota kama [[bilioni]] 100 lakini kuna galaksi kubwa na ndogo.
Galaksi yetu, ikiwemo [[mfumo wa jua]] letu, imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000. Sehemu ya nyota hizi zinaonekana kama [[kanda]] la kung'aa kwenye [[anga]] la [[usiku]] linalojulikana kwa [[rangi]] yake kama [[njia nyeupe]] au njia ya [[maziwa]] ([[kiowevu]] hicho kwa [[Kigiriki]] kinaitwa "
Galaksi iliyo karibu angani inaitwa [[Andromeda]] na ina umbali wa miaka ya nuru milioni 2.5.
Mstari 13:
Galaksi zinazojulikana zimepewa namba katika orodha ya kimataifa ya [[wanasayansi]] wa [[astronomia]].
Galaksi kati yao hujumuika pia zikiathiriana kwa njia ya [[graviti]] yao na kuzunguka kitovu cha graviti cha pamoja. Galaksi hadi 50 zinazoshikamana katika [[kipenyo]] cha [[miaka ya nuru]] milioni 10 huitwa [[kundi la galaksi]] (ing. ''galaxy group''). Kuna pia galaksi mamia hadi maelfu kadhaa zinazoshikamana na hii huitwa [[fungu la galaksi]] (ing. ''galaxy cluster'') linaweze kuwa na kipenyo ch miaka ya nuru milioni 10 - 20.
[[Jamii:Astronomia]]
|