Tanganyika (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 26:
==Jina==
Jina la ziwa limepokelewa na wapelelezi wazungu wa kwanza kutoka kwa wenyeji wa Ujiji. [[Henry Morton Stanley]] aliyetembelea ziwa mnamo mwaka 1876 aliandika ya kwamba watu wa Ujiji hawakuwa na uhakika kuhusu maana ya jina ila tu ilimaanisha ziwa kubwa<ref>Habari
Stanley alishika pia majina ya ziwa kwa makabila mengine- watu wa Marungu walisema "Kimana", wale wa Urungu "Iemba" na Wakawendi "Nsaga" kwa maana "ziwa lenye dhoruba". Alichoshika na watu wa Urungu yaani "Iemba" inalingana na taarifa ya Livingstone aliyekuta jina "Liemba" linaloendelea kutumiwa kwa meli ya [[MV Liemba]] kwenye ziwa.
|