Zoolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumbnail|Aina nyingi za wanyama '''Zoolojia''' (tamka zo-o-lo-jia, kutoka Gir. ζῷον ''zóon'' "mnyama, kiumbe hai" na...' |
dNo edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Animal diversity.png|thumbnail|Aina nyingi za wanyama]]
'''Zoolojia''' (tamka zo-o-lo-jia, kutoka [[
Zoolojia linatumia mbinu mbalimbali za kisayansi likichungulia maumbile na miili ya wanyama, michakato ndani ya miili, historia ya [[mageuko ya spishi]] za wanyama, [[jenetiki]] yao, usambazaji wao katika maeneo ya dunia, uhusiano wao na mazingira ([[ekolojia]]) na jinsi gani wanyama wanahusiana kati yao. Zoolojia imeunda mfumo wa kupanga wanyaa wote kwa vikundi ([[uainishaji wa kisayansi]]) na kuendelea utaratibu huu.
|