Tanganyika (ziwa) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 73:
Ziwani kuna pia spishi nyingi za pekee za [[konokono]] na [[kaa]] pamoja na [[crustacea]] nyingine.
 
===Uvuvi===
Tasnia muhimu katika eneo la ziwa ni [[uvuvi]]. Inakadiriwa ya kwamba baina ya 25–40[[%]] za [[protini]] katika [[chakula]] cha [[milioni]] 1 ya watu wanaoishi kule ni kutoka samaki wa ziwani<ref>[http://data.mongabay.com/external/lake_tanganyika_warming.htm Lake Ecosystem Critical to East African Food Supply Is Threatened by Climate Change] , taarifa ya National Science Foundation (NSF) kupitia tovuti ya www.mongabay.com, iliangaliwa 6 Novemba 2016 </ref>.