Tanuri la nyuklia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Scwr.svg|thumb|Muundo wa tanuri nyuklia inayopozwa kwa [[maji]].]]
[[File:Three Mile Island (color)-2.jpg|thumb|Tanuri la nyuklia kwenye kituo cha nguvu cha Three Mile Island, [[Marekani]].]]
'''Tanuri la nyuklia''' ni [[mtambo]] ambamo [[mchakato mfululizo wa nyuklia]] unatokea. [[Mwatuko wa nyuklia]] huzalisha [[joto]] ambalo latumiwa kutengeneza [[umeme]].
[[File:Scwr.svg|thumb|Muundo wa tanuri nyuklia inayopozwa kwa [[maji]]]]
[[File:Three Mile Island (color)-2.jpg|thumb|Tanuri la nyuklia kwenye kituo cha nguvu cha Three Mile Island, [[Marekani]]]]
 
Kuna aina mbalimbali za matanuri lakini kwa kawaida [[fueli]] ni ama [[urani|urani-235]] au [[plutoni|plutoni-239]].
 
==Kiini cha tanuri la nyuklia==
[[Kiini]] ni sehemu ya tanuri la nyuklia penyeyenye fueli yote na: [[mwatuko wa nyuklia]] unatokea hapa. Kiini ni pia mahali pa kutokea kwa [[joto]]. Kiini hutengenezwa ndani ya [[chumba]] cha pekee ambacho kina kwanza [[ukuta]] wa [[feleji]] (mara nyingi [[tufe]]) unaozungukwa na ukuta nenemnene wa [[saruji]] iliyoimarishwa.
Fueli imo kwa [[umbo]] la [[nondo]] za urani au plutoni. Nondo laza fueli hufanywa kwa [[pipa]] la feleji linalojazwa vidonge vya urani. Hapo [[nyutroni]] zinatoka katika [[atomi]] za urani au plutoni zikigonga atomi nyingine na kuzipasua. Kila [[upasuaji]] wa atomi unaachisha [[nishati nyuklia]] inayotokea hasa kwa njia ya joto.
 
Kiasi cha nyutroni kinachopatikana kwa kazi hii hutawaliwa kwa kuingiza au kuondoa [[nondo dhibiti]]. Hizi nondo dhibiti hujaa vidonge vya [[bori]] au [[kadmi]] na kuzuia mwendo wa nyutroni.
Mstari 19:
Matanuri ya nyuklia kadhaa hazina kazi ya kuzalisha umeme, hasa ni matanuri ya [[utafiti]] wa ki[[sayansi]] au ya kutengeneza [[isotopi]] nururifu kwa matumizi ya ki[[matibabu]], au kwa kusudi la kuwafundisha [[wanafunzi]] kwenye [[vyuo vikuu]].
 
==InchiNchi zazenye Nguvunguvu ya Nyuklianyuklia==
 
1. Marekani
1.U.S.
 
2. [[Ufalme wa Muungano|U.K.]]
2.U.K.
 
3. [[Ufaransa]]
3.France
 
4. [[Russia]]
 
5. [[Libya]]
 
6. [[Afrika Kusini]]
6.RSA
 
7. [[Namibia]]
 
8. [[India]]
 
9. [[Pakistan]]
 
10. [[Korea]]
 
11. [[China]]
 
12. [[Iran]]
 
13.Canada [[Kanada]]
 
14. [[Niger]]
 
15. [[Israel]]
 
==Historia==
Mstari 55:
Hii ilikuwa sehemu ya mradi wa [[Manhattan Project]] iliyohitaji [[fueli nururifu]] kwa kutengeneza [[bomu nyuklia]] ya kwanza.
 
Tanuri la kwanza la kuzalisha [[umeme]] lilijengwa [[Idaho]], Marekani mwaka [[1951]]. Liliweza kung'arisha [[balbu]] 1 tu.<ref>http://www.inl.gov/factsheets/ebr-1.pdf Experimental Breeder Reactor 1</ref>.
 
Mnamo mwaka [[2011]] kulikuwa na matanuri nyuklia 437 zilizozalisha [[nishati nyuklia]] iliyokuwa takriban [[asilimia]] 5 za umeme [[dunia]]ni.
Matanuri ya nyuklia ni mitambo ghali sana kwa sababu [[unururifu]] wa Uraniurani na Plutoniplutoni ni kali, zinahitaji kufikia kiwango cha juu cha [[usalama]].<ref name=scw/> Tatizo lingine ni kiasi kikubwa cha [[takataka ya nyuklia]] inayohitaji kutunzwa salama kwa miaka mamiamia elfu kadhaa. <ref name=scw/>
 
[[Faida]] ya tanuri la nyuklia ni kwamba halichafui [[hewa]] kama kituo cha nguvu ya [[makaa]] au [[mafuta]].
 
==Marejeo==
{{reflist}}
 
==Viungo vya Njenje==
*[http://www.google.com/images?client=flock&channel=fds&q=nuclear+reactor&oe=utf-8&um=1&ie=UTF-8&source=univ&sa=X&ei=6u9_Tf-DLYOssAOAxOGNBg&ved=0CFIQsAQ&biw=984&bih=527 Images for nuclear reactors]
*[http://www.world-nuclear.org/info/inf32.html Nuclear Power Reactors]