Majadiliano ya Wikipedia:Wakabidhi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 92:
Salaam ndugu zangu? Naomba kuwa mkabidhi wa Wikipedia Swahili. Mimi huja hapa aghalabu (kila siku) na najua naweza fanya gange murwa sana. Asanteni na salamu tolatola kutoka Nairobi,Kenya '''[[Mtumiaji:Trunzep|Trunzep]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Trunzep|majadiliano]])''' 10:45, 12 Novemba 2016 (UTC)
:::Ndugu Trunzep, kwa sasa naona uonyeshe uwezo wako kuchangia katika kuhariri. Kwa kawaida tumepokea wahariri waliochangia vema na kwa muda na hivyo walionekana wameelewa kazi.
|