Nelson Mandela : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 6:
 
==Maisha==
Mandela alizaliwa tarehe 18 Julai 1918 katika [[familia]] ya [[kabila]] la [[Waxhosa]] kwenye [[kijiji]] cha [[Mvezo]] karibu na [[Mthatha|Umtata]] iliyokuwa kwenye [[Jimbo la Rasi]].{{sfnm|1a1=Mandela|1y=1994|1p=3|2a1=Boehmer|2y=2008|2p=21|3a1=Smith|3y=2010|3p=17|4a1=Sampson|4y=2011|4p=3}}
 
Alipewa [[jina]] la Rolihlahla linalomaanisha "anayevuta [[tawi]] la [[mti]]" kwa maana ya "mwenye kuleta matata" katika [[lugha]] ya [[Kixhosa]]<ref>[http://africanhistory.about.com/od/mandelanelson/a/bio_mandela.htm Biography ya Mandela], tovuti ya africanhistory, iliangaliwa 16 Novemba 2016</ref>. Baadaye alijulikana kwa jina la [[ukoo]] wake "Madiba". Jina la Nelson alilipokea kutoka kwa [[mwalimu]] wake siku alipoanza kwenda [[shule]].
 
Line 32 ⟶ 33:
 
==Marejeo==
<regerencesreferences/>
 
{{DEFAULTSORT:Mandela, Nelson}}
Line 41 ⟶ 42:
[[Jamii:Marais wa Afrika Kusini]]
[[Jamii:Viongozi wa Afrika]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Amani]]